TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
TANZANIA INALIA
MIMI NINALIA
😢😢😢😢😢😢😢
 
Nawashangaa sana wanafurahia huu msiba kwa kusema maisha yatakuwa mazuri kwao, hakika hao ni wapumbavu mana kifo hakiondoi ccm madarakani na mfumo ni ule ule daima
Ngoja tuone furaha yao itaishia wapi
 
Mola aihifadhi roho yako mahala pema panapostahili Inshaallah!...
 
Scorpion amegeuka ghost face mwema...
Alieota rais amekukufa anaitwa Godbless Mwema..
R.I.P anko
 
Nawashangaa sana wanafurahia huu msiba kwa kusema maisha yatakuwa mazuri kwao, hakika hao ni wapumbavu mana kifo hakiondoi ccm madarakani na mfumo ni ule ule daima

Wafanyakazi wliofukuzwa kwa vyeti feki nawashuri wajiorganiza wafungue kesi mahakamani kudai mafao yao, Mama samia ni mtu wa huruma atawasaidia maana kashapata somo kwamba mali,vyeo ni vya kupita.
 
Sio kweli, kiasi alipoingia madarakani unyonyaji ulipungua, niulize mimi tulichofanyiwa kwenye viwanja vyetu, tumenyanyaswa na matajiri tukanyang'anywa ardhi na vigogo kisa kutoa rushwa,
waliuze chadema walivyoteswa na kuaawa na kuporwa uchaguzi serikali za mitaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…