MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ndugu ni kweli kabisa Wazungu hasa katika huo Ukurasa wa Twitter wa UK Premier Boris Johnson ( achilia kule kwa Majirani zenu Kenya na Citizen Tv yao ) si tu Wametema Nyongo bali Wametapika kabisa.Imeona taarifa za vyombo vya nje? Ni kama walikuwa wanatafutia pa kutemea nyongo.
Busara inahitajika kumpata makamu wa Rais, anatakiwa mtu mwenye misimamo yake...ili waende sawa na mama SamiaDaah em tumuweke kwenye maombi huyu mama yetu mana Tukianza kumsemea hali halisi tunayoiona kwake tunaweza kuanzisha uzi mpya wenye Comments zaidi ya 1m+
Unabii wa Lema umetia!!Rais wa kwanza kufia madaraki tz.
Je, umeshajiuliza...Acha ujinga wewe,
Tangu lini mzungu alimpenda mtu mweusi?
Au kuna siku mkenya alimpenda mtanzania?
Hao wote JPM aliwabana kwenye kona sasa ndio wameanza kelele
Kuendeleza project alizoziacha magufuli zinahitajika mtu mwenye mawazo na muono sawa na magufuliBusara inahitajika kumpata makamu wa Rais, anatakiwa mtu mwenye misimamo yake...ili waende sawa na mama Samia
Walah nina roho nyepesi 😂😂Unajibishana na watu wa humu? Utajipa makasiriko ya bure kama una roho nyepesi.
Itafikia muda itabidi uangalie comments za watu na kunyamaza kuliko kum-quote, kwa akili yako uliyonayo je hakuna sehemu yoyote ya katiba iliyoandikwa mamlaka ya rais kuwa anaruhusiwa kutokusikiliza ushauri wa mtu yeyote.?Atasema, walikuwa hawasomi katiba
Yeye kajiombeaTumuombee tuu kwa kweli
Tunaamini Mungu atatusimamia...Busara inahitajika kumpata makamu wa Rais, anatakiwa mtu mwenye misimamo yake...ili waende sawa na mama Samia
Asante sana mkuu kwa hii CommentTanzania will be even brighter with JPM's memory -- alifanya kadiri alivyoweza, usiku & mchana bila kuchoka; ameicha nchi kwenye mahali na uelekeo salama.
Tatizo hana roho mbaya na pia tayari washamsetNa mm ndo hofu yangu ipo hapo, nahisi kuna mambo atapangiwa/atalazimishwa kufanya japo sitopenda hilo litokee
Miradi mingi itasimama ili hela zirudi kwenye mizunguko ya kawaidaNawaza ujenzi wa ikulu Dodoma maskini...
Sijui watasema tena warudi Dar[emoji119]
Mwisho wa siku rais ni rais tuu mana katiba itambeba mana anaweza kuja makamu wa rais mpole kama huyu mama yetu, ila kwa yule mama ee Mwenyezi Mungu awe sambamba nae kwenye kila hatuaBusara inahitajika kumpata makamu wa Rais, anatakiwa mtu mwenye misimamo yake...ili waende sawa na mama Samia
Yah mzee, hata mimi naamini tayari wameshampanga kila kitu na hivi ni mpole naomba Mungu asipelekeshwe tuuTatizo hana roho mbaya na pia tayari washamset
Dunia nzima itaamini na kale kagonjwa ketu.Duh!
Habari za kifo cha Magufuli zimetawala Al Jazeera jioni hii. Zaidi ya dakika 10 wanamzungumzia Magufuli na Tanzania!