TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Itafikia muda itabidi uangalie comments za watu na kunyamaza kuliko kum-quote, kwa akili yako uliyonayo je hakuna sehemu yoyote ya katiba iliyoandikwa mamlaka ya rais kuwa anaruhusiwa kutokusikiliza ushauri wa mtu yeyote.?
Umeombwa kuleta hizo lines watu wajifunze na wakufunze pia jinsi ya kusoma hiyo katiba, hujaleta.
 
Unaweza kuisaidia Police
Yanii mfyuuu sijui watu wapoje...
Mwisho wa siku rais ni rais tuu mana katiba itambeba mana anaweza kuja makamu wa rais mpole kama huyu mama yetu, ila kwa yule mama ee Mwenyezi Mungu awe sambamba nae kwenye kila hatua
Mi nadhan don't doubt her too much coz power ya VP sio kubwa when president is there(tumeona VP walopita.
Akiwa Kama rais she will have full power so maybe anaweza Sasa onyesha her full reactions.
Let's wait and see.
 
Watu hawaelewi tu,.mgawa riziki ni mwenyezi mungu. Tupo duniani kukamilisha yale ambayo tuliandikiwa. Maisha ni kama script tu kama uliandikiwa utapata kuna siku utajikuta uko katika mkondo huo huo wa mafanikio.

Hakuna binadamu anaeweza kuzuia riziki ya mwenzie, we have different fates na kila tunalopitia lina sababu zake.
 
Taarifa walikua nazo. Lakini nadhani walikua na hopes halafu pia kuepusha taharuki nadhani hivyo walivyofanya ni sahihi despite the bad credibility walopata
Kuna watu walikua wanawatisha ndo maana taarifa zilivuja kwa kina Lissu mapema
 
Nawaza hii miaka 4 iliyobaki tutatoboa kwa style ya aina gani! eeh Mwenyezi Mungu ukawaongoze viongozi wetu waliobaki wakasimamie yale waliyotumwa na Marehemu Magufuli nyakati za uhai wake...miradi Mingi ipo njiani haijakamilika tunaomba eeh BABA hawa viongozi waliobaki wakaendeleze moto uliochwa...HAKIKA TUMEPOTEZA KIONGOZI SHUJAA LAKINI YOTE NI KWA MAPENZI YAKO..REST IN PEACE OUR BELOVED PRESIDENT!!! Amen
 
Ni kweli kabisa mkuu
 
Sio kwamba ana uchungu sana?
Ndio uchungu unaweza kusababisha mengine. Kama alijikaza kwenye ziara hali akijua ukweli basi hapo hatuwezi kusema ni swala la uchungu
 
Umeombwa kuleta hizo lines watu wajifunze na wakufunze pia jinsi ya kusoma hiyo katiba, hujaleta.
Nngekuwa na katiba softcopy ningeonyesha na n mpaka niichambue mana cjakariri kifungu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…