Lukuvi hampendi huyu Mama, na anatamani hiyo nafasi apewe yeyeDoh!! Kumbe ndo maana lukuvi alianza kiburi
Watu hajapatishiwa mishahara yao, watu wameuwa, watu walilazimishwa kukiri makosa, nk! Sijui kama alipata muda wa kutubu!!!??Maisha ni mafupi sana:-
watu wamefukuzwa kwa vyeti feki na wamenyimwa mafao ,ni ukatiri mkubwa sana uliofanywa...Tutende mema dunia tunapita,Jk alikuwa anajua kwamba kuna watu wenye vyeti feki lakini aliacha na kuwaambia wajiendeleze.
Ila Arusha ilizidi 👐 ukipita kuanzia saa 1 kasoro hivi jioni ile friends corner haitamaniki.Jiji la Arusha vibanda kila mahali,hadi kinyaa
Yale hayakuwa makusanyo halisiAmekwenda, na hii ni njia yetu wote, lakini template ya makusanyo ya serikali aliyoiacha, na misingi aliyoisimamia ameacha legacy kubwa sana, na kama wanatawala hawatakuwa mafisadi, hakika hii nchi itasonga mbele, pumzika baba, mwendo umeumaliza.
Umejuaje mkuuLukuvi hampendi huyu Mama, na anatamani hiyo nafasi apewe yeye
Suala la.kuongeza muda wa Kukaa madarakani hapa pia linaweza kuingiaPower struggle btn sects in the system
Nchi haina hela1. Wataanza kutoa ajira tena km awamu zilizopita?
2. Nyongeza ya mshahara itakuwepo?
Aunde serikali nzuri, wale mawaziri wahuniwahuni aondoe Kama mwigulu...Nasikia mpak 2025.
Cha muhimi atibu madonda ya chuki yaliyopandikizwa na boss wake.
Watu warudishiwe uhuru wao.
Inakera sana kuishi kwa uoga nchini mwako.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu ndo maana nkasema katiba itambeba, cha msingi ni kumuombea kwa Mungu ili tumuone Magufuli ndani yakeYanii mfyuuu sijui watu wapoje...
Mi nadhan don't doubt her too much coz power ya VP sio kubwa when president is there(tumeona VP walopita.
Akiwa Kama rais she will have full power so maybe anaweza Sasa onyesha her full reactions.
Let's wait and see.
Nenda Makumbusho kaulizieHospitali ya Mzena ipo kichochoro kipi?
RIP CHAMPIONS.
Yeye atafata katiba maana anajua hatakatiza 2025Natamani mama Samia afate nyayo za Magufuli bila kuyumba, tumuombee rais wetu mama Samia
Mjadala wa Conspiracy theory umefikia tamati...Rest in power Ngosha. And rest well.
You made your mark.
Respect.
💪
Umekuwa mpoleMaendeleo hayana Chama nasema uongo ndugu zangu?
karume sio 7 april!Maalim alifariki tarehe 17.2.2021
Magu amefariki tarehe 17.3.2021
Karume alifariki tarehe 17.4.1972
hii tarehe 17 sio nzuri kwa watanzania.
Sijui kama alipata muda wa kutubu!! Ila sio vizuri kuishi kwa kiburi kilichopitiliza, Mungu anasema"nawapinga wenye kiburi"Lema alifunuliwa akasema Mungu amemuonyesha ya kwamba Rais magufuli akiendelea kujiona yeye ni mungu hatafika 2020 lakini hakubadilika Mungu akamuongezea muda kidogo wa kujisahihisha lakini hakubadilika.