TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Mbaya zaidi alishupaa kuyasema hayo akiwa kwenye mimbari ya msikiti na siku tukufu ya Ijumaa. Ama kweli aliyesema tusichanganye dini na siasa hakukosea!
Nadhani viongozi wa dini zote wamejifunza kutoka kwa utawala wa Kishetani wa Jiwe. Kuanzia sasa wasiruhusu Mwanasiasa yeyote kusimama kwenye mimbari na kuongea pumba,hata salamu iwe marufuku.
 
Kuna watu wamechangia Kifo cha Rais Wetu Mpendwa. Watanzania Sisi Sio Wavivu wa Kuomba kwa Mungu lakini Hatuwezi Kuomba Gizani Bila Kujua. Kama Tuliweza Kufunga kwa Kuomba Kuhusu Corona Mwaka Uliopita Tusingeshindwa kufunga na Kuomba Kwa Siku 3 kati ya Tarehe 06/3/2021 hadi leo, Huenda Mungu angesikia Maombi Yetu

Kinachoniuma nilishindwa kuingia Kwenye Maombi Serious Nikiwaamini Viongozi wangu waliokuwa wanasema Rais Yupo Salama.

Najuta Sana Kumuamini Mwanasiasa, Magufuli alikuwa mtu wa Kanisani Tusingeshindwa Kumuombea...... inauma Sanaa Anafariki mtu unae mpenda na kushindwa hata kumuombea. Nililiamini Jeshi La Polisis lilokuwa linakamata watu wanaoitwa Wamezusha Taarifa za Uongo kuhusu kuumwa Kwa Rais kumbe ningewasikiliza hao ningekuwa Nimemuweka Rais Kwenye Maombi.

Shame on You Wanasiasa Mliotudanganya na tukashindwa kama Watanzania Kumuweka Rais Wetu Kwenye Maombi. Daima alitusisitiza Kwenye Kufanya Dua lakini Wanasiasa Uchwara wamemuangusha. Pumzika Kwa Amani Rais na Lawama hizi Zimfikie Waziri Mkuu popote ulipo. Zikufikie msemaji Wa Serikali Kwa Kushindwa Kuongea mambo muhimu ya kiserikali na kuja kutudanganya. Lawama Hivi ziwafikie wabunge wote na Wengine. PUMZIKA KWA AMANI RAIS WETU
Duh pole aisee kumbe ulikuwa huamini zile taarifa za akina vigogo na wenzake ulijua ni uongo .Nakubali sana raisi wetu alikuwa ni mtu wa maombi sana hata kama angekufa basi hata cku mbili engepata nafuu ya kutusalimia lkn ni uongo wa serkali uliwaaminisha Watanzania kama raisi ni mzima na anafanaya kazi zake Lawama zote ni za wale waliosema uongo.
 
Mungu ni Mungu. Watanzania miaka sita alitupa tujifunze kuwa kuna viongozi vichaa hutawala dunia kaamua apitie kwetu natumaini mmejifunza wote mliokuwa wateule.

Katikati ya pandemic kama hii yeye havai barakoa na nyie hamvai. Gonjwa limefyeka top layer ya ikulu. Bado makamu naye anafanya ziara. Ni muda tupambane sasa na corona. Pumzika Dr Magufuli. Umeacha funzo kwa Watanzania.
 
Duh pole aisee kumbe ulikuwa huamini zile taarifa za akina vigogo na wenzake ulijua ni uongo .Nakubali sana raisi wetu alikuwa ni mtu wa maombi sana hata kama angekufa basi hata cku mbili engepata nafuu ya kutusalimia lkn ni uongo wa serkali uliwaaminisha Watanzania kama raisi ni mzima na anafanaya kazi zake Lawama zote ni za wale waliosema uongo.
Kuna mambo ya kuleta uongo lakini kitendo alichofanya katelephone ,ze comedian chalamila ,mwigulu ni utopolo....Huawezi kudanyanya afya ya rais kwa kusema yupo safi anachapa kazi wakati mtu yupo ICU.
 
Ulipopewa jogoo kule Kibiti ulisema na baba yako ameshafariki, yule mtu anaweza kuwa baba yako....
giphy.gif
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom