TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Serikali semeni ukweli kuwa ni ugonjwa gani uliomua rais wetu? Siamini kama Afib ndiyo chanzo kikubwa kwa sababu hiyo inasababishwa (triggered) na underlying conditions. Kuna kitu kinafichwa hapa. Chronic Atrial fibrillation huwa unakuwa na chanzo. Tunataka ukweli
 

Umeongea vyema nadhani inshu ya washauri makini imesababisha mengi! Doctor wa rais inabidi atuelezee kwa kweli! Magufuli wa true son of Africa legacy alioacha ni kubwa mno. Tutaanza kurudi kwy mambo ya michakato sasa na majizi umo umo yanapita! Sema “wanadai ivumayo haidumu sana”

Sio wote walikua wanamzunguka wanamkubali ndio hao wanatumika kutoa taarifa za siri kwa wqpinzani nk.
 
Si ya makumbusho hiyo? Something like that! Kwy qns why atoke JMKHI aende mzena sijawai hata kuwaza? Why not flying him to SA au hata Kenya apo baada ya kupata nafuu kwa uangalizi zaidi! Anyway yote tumuachie Mungu
Mkuu, it was too late.

Hata MOI waliona hiyo (worse condition) ndo ikaamuliwa aende Mzena kwa final analysis.
 
Macho yangu siyaelewi, maana yanatoa maji tiririka, sijui ni machozi! Hiki kipindi ni kigumu sana kwa watz wazalendo! Tupeni muda tumuomboleze mpendwa wetu!
 
Mkuu, huwezi kupata ukweli hapa.

Soma PM
 
Mlolongo wa nyadhifa za uwaziri, umeruka waziri wa mambo ya uvuvi/kilimo pia kama vilikuwa pamoja.
 
RIP JPM. Watanzania sasa ni muda wa kujenga umoja wetu na mshikamano ulioasisiwa na Mzee wetu Nyerere.
 
Mungu ni mwema kwetu, jina lake lihimidiwe!
 
NDIO NA HILI FUNZO;LILILO TUGARIMU KWELI, UONGO NI DHAMBI
 
R.I.P mambo mengi mno. Mungu tusaidie tuanze upya. Amani, upendo na mshikamano. Utengano kwa udini, ukabila, ukanda, uvyama tuuzike tuanze kurasa mpya. Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wamemuua, lini tukasikia hospitali ya Mzena, so did they deny him proper care at Muhimbili? Account zao za nje zilikuwa haziingizi hela kwa sababu JPM alikuwa amekata pa kuchota hela zetu.

Those leaders have a lot to answer. Heart problems are a long term ailment and at his level death can be avoided. Tanzania leaders, tell us the truth what went wrong. If you have heart problems and you contact Covid-19, of course it becomes very complicated to treat, and this causes death!
 
Hao watu ndumilakuwili, watapata lijala yao!
 
Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.

Nimeumia sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…