ong'wafaza
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 247
- 107
R.I.P
Mazishi lini na wapi?
Mazishi lini na wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ni kweli ni sawa na siku Lissu alipomiminwa risasi 38 hadharaniRest in peace hon John Pombe Magufuli.
Ni pigo kubwa sana kwetu Watanzania haijalishi ni mwana CCM au mpinzani. Huyu tayari alishakuwa raisi wetu.
Maisha ni fumbo.
Tumia muda wako kufanya mazuri kwani siku moja utapotea kama nukta moja ya mchanga baharini na kitakachobaki ni historia yako iwe ya mabaya au mazuri.
Hata kama ulimchukia au kumpenda ila kifo ni kifo. upendo na chuki vyote havina faida sasa hivi.
Binadamu wenye moyo watanielewa.
Sifurahii wala Sisikitiki.
Have a good sleep mr. president.
TBC sasa lazima waimbe huo wimbo siwalikuwa walisahau kama kuna mkono wa Bwana wenyewe walikuwa na mungu waoDaaaaahhhh TBC
Inapiga tumeona Mkono wa Bwana
Kwani wewe uko upande gani bwashee?
Tunataka chanjo zianze kuja. Hatutaki kuendelea kufa
Mataga walikaza mafuvu Yao sasa wataanza kuelewa.
Bwashee tenda wema uende zako usingoje shukurani!Ulipo wewe.
Ila una roho NGUMU.
Tenda mema ishi na watu vizuri mche Mungu acha kulilia marehemu ililie nafsi yako na wanaokuzunguka kwamba saa ikifika watakutwa katika mazingira ganiMwamba na Jemedari ameondoka.! Pumzika Mzee Pumzika Baba.
Kuna maumivu nayapata ndani kwa ndani, tokea nimepokea taarifa hizi jana saa sita usiku kwenye Mitandao ya Kijamii.! Naumia sijui kwanini lakini ..! [emoji24][emoji24][emoji24]
Sioni tatizo kwa mama Samia. Nadhani hapo juu huyu mama ana hekima na diplomacy itoshayo kuiongoza Tanzania. Hawa wengine nitoe fursa kwa muda... Kesho nisikose cha kusema au nisihukumiwe kwa "unafiki"!!!Nadhani wote MAJALIWA, SAMIA,BASHE,CHALAMILA wanapaswa kuachia ngazi mara moja.
Ni hospital ya usalama wa Taifa
Si ya makumbusho hiyo? Something like that! Kwy qns why atoke JMKHI aende mzena sijawai hata kuwaza? Why not flying him to SA au hata Kenya apo baada ya kupata nafuu kwa uangalizi zaidi! Anyway yote tumuachie Mungu
Chadema hawana mamlaka juu ya kifo.walionena na kuandika hawakuandika kama chadema. Walitoa maoni yao na kuhabarisha umma juu ya yanayoendelea hata hivyo kutokana na chuki na ushabiki wa kijinga watu mkaanza kuishambulia chadema. Huu no ujinga uliopitiliza !!Haya Chadema furahieni sasa mliyoyaomba yamejibiwa
Watapiga kina nao CHADEMA au?Upigaji unarudi kwa spidi ya mwanga kudadeq. Wiki hizi watu watajipigia hadi tuombe poo. Mtanzania ni mtu hatari sana...