TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Kiukwel gap ya Magufuli hakuna mtu ataliziba, kaacha viatu vikubwa mno hakuna vitakaemtosha.
Kuna wengine wanachukulia ‘Utani’ lakini seriously Tanzania tumepoteza mwanga uliokua unamulika mbali japo ulikua wenye kutuletea maumivu makali machoni petu.

Kuna siku tutasema wote kwa pamoja Bora Magufuli kwa sababu alikua mwenye maono mengi, makubwa na mazuri kiasi kwamba sidhani kama kuna mtu mwingine alie nchini mwenye maono kama yake

Rest In Peace Mr. President [emoji24]
Kama kuua watu....kujenga Uwanja wa ndege Kijijini kwake ni Sawa hatapatikana kama yeye acheni huu ujinga

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Tunamlilia kwa sababu,pamoja na mabaya yake,lakini alikuwa na mema pia aliyotufanyia watanzania. Kwa mara ya kwanza Taifa la Tanzania tunapitia kwenye kipindi cha kufiwa na Rais akiwa madarakani, tuombe MUNGU Atuvushe.
Mema yasiyozingatia nakuheshimu uHAI wa MTU hayana maana yoyote

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Na watanzania tujifunze kuwa ukiwa kiongozi wa aina ya JPM RIP watakiwa kuwa umetengeneza JPM wengine kama watano hivi.

Ili hata siku watangulia mbele ya haki, basi JPM wengine wanashika hatamu.

Hakuna vita mbaya kama ya uchumi na kulinda rasilimali zako.

JPM alikataa katakata access kwa jamaa na wakachukia na muda si mrefu utawasikia wakitoa matamko kadha wa kadha.

Nawalaumu sana baadhi ya watanzania wenzetu ambao wamevua uafrika wetu na kujitwika haiba za kigeni na kusahau kuwa wao ni waafrika.
Kuwa muafrika maana yake sio kuwa MJINGA

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mjinga katema nyongo yule dah ila uzuri ajaonesha unafiki kwa God
 
Kama vipi naye afe tu. 😬

Halafu kama ameumia sana akaiombe mamlaka imruhusu azikwe naye kaburi moja. Si Watemi wa Kisukuma wa zamani walikuwa wanazikwa na mtu mwingine aliye hai?

Jinga kabisa hilo lenye minywele kama mizizi ya mpapai.😬
 
Lengo la kumpeleka mzena lilikua ni usiri tu maana kwa pale ndio kulikua na asilimia kubwa kutunza siri juu ya maradhi yake kuliko muhimbili maana mzena ni ya TISS ile. Nje ya box sasa kulikua na umuhimu gani kumpeleka huko halafu kuwa chini ya jopo la madaktari wa Jakaya kwann wasimpeleke huko huko? Sijui tunaelekea wapi maana ilinenwa mficha maradhi kifo ndio kimuumbuacho.
Tatizo kubwa walilofanya ni kuficha ugonjwa wake

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Halafu huyu anaitwaje bado mwanamziki huku hafanyi mziki kwa sasa(kaishiwa mashairi)
 
Hata mimi nilimkubali kama wewe, na hata Jana baada ya kupata taarifa niliumia sana mpaka nikashindwa kulala , usingizi uligoma kuja, Yani nilikuwa na maumivu yaliyochanganyikana na furaha kwa mbali.

Ila alifanya mazuri mengi sana na nimemkubali sana, pia mapungufu nayo yalikuwepo yameumiza wengi sana.

Naomba tupage kiongozi ambaye atakuwa na maono Kama Magufuli na mixture Kikwete, JKN .

Pengo la raisi linazibika ila kwa fimilia ndio halitazibika, Mungu aipe faraja familia yake. Katika kipindi hichi kigumu.
Waliopotezewa wapendwa wao na Magu unawasemeaje

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu alikuwa ngangari kama Magu kuhusu Korona naamini angepata nafasi yakuinuka asingerudia tena zile blah blah zake

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kufa ni lazima kwa kila kiumbe hai Chief
Mzee Magu alisimama sawa katika kutetea Taifa lake dhidi ya Corona,
Ila haimaanishi kuwa hawezi kuumwa au kufa kama wengine
 
Apumzike tu kwa amani
TANZANIA ILIKUWEPO KABLA YAKE NA IMEBAKI BAADA YAKE
NA MAISHA YANAENDELEA
MUNGU AMPE KAULI DHABITI AENDAKO
AMEN

TULIMPENDA ILA MUNGU KAMPENDA ZAIDI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom