SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Yesu atamlinda huyu kwa kufurahia Vifo vya watu wengine ila hakumlinda anayemuongelea Kisa tu anaona alimkosea sana? Tafuta Yesu mwingine na siyo tunayemjua.Yesu atamlinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu atamlinda huyu kwa kufurahia Vifo vya watu wengine ila hakumlinda anayemuongelea Kisa tu anaona alimkosea sana? Tafuta Yesu mwingine na siyo tunayemjua.Yesu atamlinda
Hivi inakuaje wadau thread Kama hii inafika hadi page ya 4 lakini bado haifutwiKwa hili corona ilitufanyia jema watz haswa kumfyeka huyu kichaa
Yaani Covidi ilimfyeka bwana yuleee ikamfyeka fyeee sahivi anachomwa huko kuzimu maskini
Mama yule hadi kanenepa maana jamaa alikua anamtesa sana
Asante Corona kwa kutusaidia watanzania kutuondolea yule mwendakuzimu yaani ilimfyeka fyeeee!!!!!!!! Sahivi wafuasi wake wametawanyika kama vitoto vya kuku vilivyokimbizwa na mwewe yaani ni raha sana
Kwa kweli asante mungu asante corona kwa kutuondolea yule kicha mwendakuzimu!
Nimeandika na sifuti!!
Hakika walimchukia sanaNdo ujue huwezi pendwa na wote wengine wanafurahi unavopata shida.
Hakika walimchukia sana
Akili yako iko sawasawa??wafanyakazi wengi wa seriakli ngazi za juu walikuwa wanamlaani kwani alizuia upigani na sitting allowance za ovyoovyo.Ndo maana hawakutaka kututqngazia..na wala aliomba aonhee na watanzania kupitia TV laivu atuase wakamkatalia nadhani waligopa atataja waliomudhuru
Huenda walikua wanataka akufilie mbaliBado najiuliza hivi kwa nini serikali ilificha kuumwa kwake.