Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na Urusi

Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na URUSI. Mabeberu walimvimbisha kichwa, hata hakuweza kabisa kuheshimu makucha marefu ya URUSI.

Malengo ya MAREKANI na NATO kwa ujumla ilikuwa ni kuitumia UKRAINE katika kujaribu kuidhoofisha URUSI. Ili kufanikisha lengo la NATO ilibidi kumlaghai UKRAINE aamini kuwa atajiunga na NATO kwa urahisi hivyo kudhani kuwa URUSI itaogopa kuvamia Ukraine iliyo ndani ya NATO.

Lengo mahususi la NATO ilikuwa ni kuandaa mazingira yatakayoilazimisha URUSI kuvamia UKRAINE. Kwa mazingira waliyoandaa ya kuihakikishia kuwa UKRAINE hatazuiwa kuwa mwanachama wa NATO, nchi za magharibi zilikuwa na uhakika asilimia 100 kuwa kwa kuuvuka MSTARI MWEKUNDU wa URUSI lazima Urusi itaivamia Ukraine, na haswa hicho ndicho walichokuwa wanakitafuta. Walikuwa wanatafuta Urusi ivamie Uraine ili wapate uhalali wa KUIWEKEA VIKWAZO VIKUBWA SANA vya kiuchumi.

Lengo ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi ili hatimaye ishindwe kuendelea kujiimarisha kijeshi. Jeshi imara linahitaji uchumi imara.
Amini usiamini, siku Urusi amevamia UKRAINE, Marekani na NATO kwa ujumla walishangilia sana, kwa kuwa tayari URUSI alilazimika kuingia kwenye mtego aliokuwa anaujua wazi lakini akalazimika kuchagua BAYA MOJA KATI YA MABAYA MAWILI!!

Baya alilochagua ambalo angalau ni nafuu kwake kwa kutunza heshima yake ni kuvamia, huku akijua madhara yake kiuchumi. Baya aliloamua kulikataa ambayo ni baya zaidi kwake ni kuruhusu UKRAINE kujiunga na NATO hivyo kukaribisha adui mkubwa alimbikize silaha za maangamizi mlangono kwake!! Hilo aliona litamdhoofisha zaidi na kumwondolea heshima yote. Sasa yote haya inaelekea Rais wa Ukraine hakuwa anayajua!

Yeye alidhani nchi za magharibi zinampenda sana na zitamlinda kwenye vita ambayo imeandaliwa mazingira ya kutokuepukika!!
Sasa alipotumbukia kwenye vita, na Mrusi akatumia njia ya kuchoma sindano na kuiacha ndani ili maumivu yanyong'onyee ( kuzingira miji yote muhimu, ili kuzuia misaada ya kijeshi kuwafikia wanajeshi wake waliozingirwa), sasa Rais huyo msanii akaomba NATO waweke "NO FLY ZONE" (kuzuia ndege za Urusi za kivita zisiruke), na NATO wakamruka "kimanga"!!

Kwa sababu NATO wanajua utaizuiaje ndege ya URUSI kuruka kwa mfano! Inabidi uishambulie!! Hii maana yake uingie vitani na URUSI, kitu ambacho hakikuwa lengo tangu mwanzo!! Kuingia vitani na URUSI maana yake ni vita kuu ya tatu ya dunia!!! hapo hakuna mshindi!! Urusi ndio inaongoza duniani kwa kuwa na silaha nyingi za Nyuklia!! Hivi Rais wa UKRAINE alidhani kuwa NATO watakuwa tayari kuingia vitani na Uruisi?

Aozee tu kwenye choo cha kike, NATO hawana ubavu huo!!!!
 
Haka kashikaji ni kafala sana yaani alitegemea mamilioni ya wamarekani na Ulaya eti kwa ajili ya Ukraine.
Screenshot_20220305-091225.jpg


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Wamemsaliti katikati ya uwanja wa mapambano katikati ya uhitaji wa msaada wao katikati ya kiffo na uhai usaliti mbaya Sana hasa kwa watu wako wa karibu Sana
 
Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na URUSI. Mabeberu walimvimbisha kichwa, hata hakuweza kabisa kuheshimu makucha marefu ya URUSI.

Malengo ya MAREKANI na NATO kwa ujumla ilikuwa ni kuitumia UKRAINE katika kujaribu kuidhoofisha URUSI. Ili kufanikisha lengo la NATO ilibidi kumlaghai UKRAINE aamini kuwa atajiunga na NATO kwa urahisi hivyo kudhani kuwa URUSI itaogopa kuvamia Ukraine iliyo ndani ya NATO.

Lengo mahususi la NATO ilikuwa ni kuandaa mazingira yatakayoilazimisha URUSI kuvamia UKRAINE. Kwa mazingira waliyoandaa ya kuihakikishia kuwa UKRAINE hatazuiwa kuwa mwanachama wa NATO, nchi za magharibi zilikuwa na uhakika asilimia 100 kuwa kwa kuuvuka MSTARI MWEKUNDU wa URUSI lazima Urusi itaivamia Ukraine, na haswa hicho ndicho walichokuwa wanakitafuta. Walikuwa wanatafuta Urusi ivamie Uraine ili wapate uhalali wa KUIWEKEA VIKWAZO VIKUBWA SANA vya kiuchumi.

Lengo ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi ili hatimaye ishindwe kuendelea kujiimarisha kijeshi. Jeshi imara linahitaji uchumi imara.
Amini usiamini, siku Urusi amevamia UKRAINE, Marekani na NATO kwa ujumla walishangilia sana, kwa kuwa tayari URUSI alilazimika kuingia kwenye mtego aliokuwa anaujua wazi lakini akalazimika kuchagua BAYA MOJA KATI YA MABAYA MAWILI!!

Baya alilochagua ambalo angalau ni nafuu kwake kwa kutunza heshima yake ni kuvamia, huku akijua madhara yake kiuchumi. Baya aliloamua kulikataa ambayo ni baya zaidi kwake ni kuruhusu UKRAINE kujiunga na NATO hivyo kukaribisha adui mkubwa alimbikize silaha za maangamizi mlangono kwake!! Hilo aliona litamdhoofisha zaidi na kumwondolea heshima yote. Sasa yote haya inaelekea Rais wa Ukraine hakuwa anayajua!

Yeye alidhani nchi za magharibi zinampenda sana na zitamlinda kwenye vita ambayo imeandaliwa mazingira ya kutokuepukika!!
Sasa alipotumbukia kwenye vita, na Mrusi akatumia njia ya kuchoma sindano na kuiacha ndani ili maumivu yanyong'onyee ( kuzingira miji yote muhimu, ili kuzuia misaada ya kijeshi kuwafikia wanajeshi wake waliozingirwa), sasa Rais huyo msanii akaomba NATO waweke "NO FLY ZONE" (kuzuia ndege za Urusi za kivita zisiruke), na NATO wakamruka "kimanga"!!

Kwa sababu NATO wanajua utaizuiaje ndege ya URUSI kuruka kwa mfano! Inabidi uishambulie!! Hii maana yake uingie vitani na URUSI, kitu ambacho hakikuwa lengo tangu mwanzo!! Kuingia vitani na URUSI maana yake ni vita kuu ya tatu ya dunia!!! hapo hakuna mshindi!! Urusi ndio inaongoza duniani kwa kuwa na silaha nyingi za Nyuklia!! Hivi Rais wa UKRAINE alidhani kuwa NATO watakuwa tayari kuingia vitani na Uruisi?

Aozee tu kwenye choo cha kike, NATO hawana ubavu huo!!!!
Walipromise Ukraine give up your weapons na nuclear we will defend you look
 
Hawezi beberu kuhatarisha maisha ya raia wake eti kwa ajili ya kukulinda wewe Rais mchekeshaji na watu wako!!! Hakuna kichaa wa kujaribu kumzuia Putin akiwa katika harakati za kutekeleza jambo lake, labda kama haujitaki!!!
 
Haka kashikaji ni kafala sana yaani alitegemea mamilioni ya wamarekani na Ulaya eti kwa ajili ya Ukraine.View attachment 2139437

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Ukifuatilia channel moja ya telegram inaitwa intel Slava z kuna video nyingi za wanajeshi WA Russia na vita inayoendelea ukifuatilia utaona Ukraine imehelemewa Sana.
 
Ukifuatilia channel moja ya telegram inaitwa intel Slava z kuna video nyingi za wanajeshi WA Russia na vita inayoendelea ukifuatilia utaona Ukraine imehelemewa Sana.
Ukraine imewekeza kwenye propaganda zaidi ila kiuhalisia ana hali mbaya.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Ingekua enzi za mkwere tungepeleka jeshi kulinda amani[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Muda huu Zelensky Rais wa Ukraine anazikumbuka fursa alizozipoteza!
1. Fursa ya kwanza ilikuwa ni kutekeleza makubaliano ya Minsky ambayo yalimtaka kutoa madaraka makubwa kwa majimbo yaliyojitenga, lakini yabakie chini ya himaya ya Ukraine, (kama vile Hongkong)
2. Fursa ya pili ilikuwa atangaze kuondoa nia ya kujiunga na NATO.
Fursa hizo mbili alizichezea na kuzipoteza. Kwa sasa siku zake zimehesabika, kuna uwezekano mkubwa akalazimika kuachia ngazi!! Mabeberu wao wanatoa machozi ya mamba! walichokitaka pia wamekipata, yaani kupata sababu za kumwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi URUSI!! Urusi itashinda vita vyake na UKRAINE lakini itaporomoka sana kiuchumi na itaichukua miaka mingi kuinuka tena! Hicho ndicho mabeberu mabeberu walikuwa wanakitaka!!
 
Back
Top Bottom