Wajaribu kama huyo Biden hajalipuliwa akiwa chooni mchawi mkubwa yuleNATO toka mwanzo walisema wataingilia kijesh Kama URUSI atavamia lkn naona wamekausha up to now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajaribu kama huyo Biden hajalipuliwa akiwa chooni mchawi mkubwa yuleNATO toka mwanzo walisema wataingilia kijesh Kama URUSI atavamia lkn naona wamekausha up to now
Kaongea leo kuwa hizo sanctions zitageuka kuwa vita kweli. Huko tunakoelekea ndo atakachofanya ila si kuwablackmail kwa nuclear. Maana nuclear hata NATO wanazo.Hivi Putin baada ya kumalizana na Ukraine,hawezi kuwapiga beat kwamba nifungulieni vikwazo vyote au nitawashambulia kwa nyuklia!?
Nalog off
😂😂 ila ni msanii wa kutunukiwa holywood... ushamcheck akihutubia ndani ya handaki hajanyoa ndevu nk anahutubia kwa sauti chungu? Sa vita hata havijaingia mjini niaje huyu wanamwita shujaa tayari kajificha shimoni niaje hapoHuyu mchekeshaji mjinga.. hajui kuwa hizi mambo ni serious. Sio ujinga anaofikiri
😄 inaonekana mwenye mali kajitokezaWalipromise Ukraine give up your weapons na nuclear we will defend you look
wanampa hela kibao sasa ivi ila inawezekana wanakula lile kundi la kihitler aliloruhusuHaka kashikaji ni kafala sana yaani alitegemea mamilioni ya wamarekani na Ulaya eti kwa ajili ya Ukraine.View attachment 2139437
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Ongezea.. kiingozi kuwa chawaNdo ubaya wa kuwa na kiongozi kichaa
Tuwekee picha akiwa amekufa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiongozi mwingine mwandamizi wa Jeshi la Urusi ,Major General,auwawa UkraineView attachment 2146860
View attachment 2146861
Mwenyewe ndiyo alikuambia anavyofikria?Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na URUSI. Mabeberu walimvimbisha kichwa, hata hakuweza kabisa kuheshimu makucha marefu ya URUSI.
Malengo ya MAREKANI na NATO kwa ujumla ilikuwa ni kuitumia UKRAINE katika kujaribu kuidhoofisha URUSI. Ili kufanikisha lengo la NATO ilibidi kumlaghai UKRAINE aamini kuwa atajiunga na NATO kwa urahisi hivyo kudhani kuwa URUSI itaogopa kuvamia Ukraine iliyo ndani ya NATO.
Lengo mahususi la NATO ilikuwa ni kuandaa mazingira yatakayoilazimisha URUSI kuvamia UKRAINE. Kwa mazingira waliyoandaa ya kuihakikishia kuwa UKRAINE hatazuiwa kuwa mwanachama wa NATO, nchi za magharibi zilikuwa na uhakika asilimia 100 kuwa kwa kuuvuka MSTARI MWEKUNDU wa URUSI lazima Urusi itaivamia Ukraine, na haswa hicho ndicho walichokuwa wanakitafuta. Walikuwa wanatafuta Urusi ivamie Uraine ili wapate uhalali wa KUIWEKEA VIKWAZO VIKUBWA SANA vya kiuchumi.
Lengo ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi ili hatimaye ishindwe kuendelea kujiimarisha kijeshi. Jeshi imara linahitaji uchumi imara.
Amini usiamini, siku Urusi amevamia UKRAINE, Marekani na NATO kwa ujumla walishangilia sana, kwa kuwa tayari URUSI alilazimika kuingia kwenye mtego aliokuwa anaujua wazi lakini akalazimika kuchagua BAYA MOJA KATI YA MABAYA MAWILI!!
Baya alilochagua ambalo angalau ni nafuu kwake kwa kutunza heshima yake ni kuvamia, huku akijua madhara yake kiuchumi. Baya aliloamua kulikataa ambayo ni baya zaidi kwake ni kuruhusu UKRAINE kujiunga na NATO hivyo kukaribisha adui mkubwa alimbikize silaha za maangamizi mlangono kwake!! Hilo aliona litamdhoofisha zaidi na kumwondolea heshima yote. Sasa yote haya inaelekea Rais wa Ukraine hakuwa anayajua!
Yeye alidhani nchi za magharibi zinampenda sana na zitamlinda kwenye vita ambayo imeandaliwa mazingira ya kutokuepukika!!
Sasa alipotumbukia kwenye vita, na Mrusi akatumia njia ya kuchoma sindano na kuiacha ndani ili maumivu yanyong'onyee ( kuzingira miji yote muhimu, ili kuzuia misaada ya kijeshi kuwafikia wanajeshi wake waliozingirwa), sasa Rais huyo msanii akaomba NATO waweke "NO FLY ZONE" (kuzuia ndege za Urusi za kivita zisiruke), na NATO wakamruka "kimanga"!!
Kwa sababu NATO wanajua utaizuiaje ndege ya URUSI kuruka kwa mfano! Inabidi uishambulie!! Hii maana yake uingie vitani na URUSI, kitu ambacho hakikuwa lengo tangu mwanzo!! Kuingia vitani na URUSI maana yake ni vita kuu ya tatu ya dunia!!! hapo hakuna mshindi!! Urusi ndio inaongoza duniani kwa kuwa na silaha nyingi za Nyuklia!! Hivi Rais wa UKRAINE alidhani kuwa NATO watakuwa tayari kuingia vitani na Uruisi?
Aozee tu kwenye choo cha kike, NATO hawana ubavu huo!!!!
Mkuu mbona ni rahisi sana kufahamu ukweli, technology haidanganyi .Chukua Hila Jina search utapata details Sasa hivi huwezi danganya🤔Tuwekee picha akiwa amekufa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbuka taarifa ni za upande mmoja za Russia no network.Mkuu mbona ni rahisi sana kufahamu ukweli, technology haidanganyi .Chukua Hila Jina search utapata details Sasa hivi huwezi danganya[emoji848]
Pro Putin BBC wameConfirm!Kumbuka taarifa ni za upande mmoja za Russia no network.
So its just a propaganda
Halafu kama una akili ushawahi kuona wapi Major Gen akaenda uwanjwa wa vita.
Mnaoangalia Movies mnatusumbua sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] only idiots believes BBCPro Putin BBC wameConfirm!View attachment 2147269
Leta picha akiwa mfu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Pro Putin BBC wameConfirm!View attachment 2147269
Kwaio BBC wanataarifa ila video au picha hawana??Pro Putin BBC wameConfirm!View attachment 2147269
Niliwaza piaHivi Putin baada ya kumalizana na Ukraine,hawezi kuwapiga beat kwamba nifungulieni vikwazo vyote au nitawashambulia kwa nyuklia!?
Nalog off