Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na Urusi

Hivi Putin baada ya kumalizana na Ukraine,hawezi kuwapiga beat kwamba nifungulieni vikwazo vyote au nitawashambulia kwa nyuklia!?
Nalog off
Kaongea leo kuwa hizo sanctions zitageuka kuwa vita kweli. Huko tunakoelekea ndo atakachofanya ila si kuwablackmail kwa nuclear. Maana nuclear hata NATO wanazo.
 
Harafu hilo Jina la Rais wa Ukraine muwe mnalisoma sio mnalipita kisa tu mmeshalikariri
 
Huyu mchekeshaji mjinga.. hajui kuwa hizi mambo ni serious. Sio ujinga anaofikiri
😂😂 ila ni msanii wa kutunukiwa holywood... ushamcheck akihutubia ndani ya handaki hajanyoa ndevu nk anahutubia kwa sauti chungu? Sa vita hata havijaingia mjini niaje huyu wanamwita shujaa tayari kajificha shimoni niaje hapo
 
Kiongozi mwingine mwandamizi wa Jeshi la Urusi ,Major General,auwawa Ukraine

 
Mwenyewe ndiyo alikuambia anavyofikria?
 
Mkuu mbona ni rahisi sana kufahamu ukweli, technology haidanganyi .Chukua Hila Jina search utapata details Sasa hivi huwezi danganya[emoji848]
Kumbuka taarifa ni za upande mmoja za Russia no network.

So its just a propaganda

Halafu kama una akili ushawahi kuona wapi Major Gen akaenda uwanjwa wa vita.

Mnaoangalia Movies mnatusumbua sana
 
Kumbuka taarifa ni za upande mmoja za Russia no network.

So its just a propaganda

Halafu kama una akili ushawahi kuona wapi Major Gen akaenda uwanjwa wa vita.

Mnaoangalia Movies mnatusumbua sana
Pro Putin BBC wameConfirm!
 
Sisi wote humu ni wapumbavu sana, hivi tunawezaje kuwaza kuwa siku zote hizi ukraine yupo peke?...kuna wanajeshi wa NATO kibao wapo ukraine hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…