Mwambwaro
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,309
- 3,522
Ukraine sawa hawez kushinda hiii vita ila rais wao badala ya kuwapa morali wanajesh wake yeye kaz kulalamika tu aoneshe jitihada za kupigana sasa wao wanaona majeshi ya urussi yanakuja na yanaingia wametulia tu hata hawajafanya chochote kiongoz wao mzembe tu