Sababu ya kijinga? Haitakaa itokee kamwe taifa kubwa kama Russia kumruhusu NATO na Marekani wawe na access na mipaka yao kupitia nchi iliyopakana nae, sababu kwa kufanya hivyo atakua kajiweka hatarini kiusalama. Marekani ni mnafiki, unadhani angekubali Russia awe na ushirika na nchi kama Mexico na kuwa na uwezo wa kupeleka majeshi yake? Hakuna anaependa vita, ila Putin hakua na chaguo jingine. Hakuna namna yoyote angeweza kuruhusu Ukraine ajiunge NATO, never. Siku chache zijazo rais wa Ukraine atapinduliwa, kisha Putin ataweka mtu anaemmudu kama yule aliekuwepo kabla ya huyu wa sasa, na biashara itaishia hapo
Sent using
Jamii Forums mobile app