Rais wa Ukraine awaambia NATO: 'Hii yaweza kuwa mara yenu ya mwisho kuniona nikiwa hai!'

Rais wa Ukraine awaambia NATO: 'Hii yaweza kuwa mara yenu ya mwisho kuniona nikiwa hai!'

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Rais wa Ukraine Zelensky amewaonya marais na viongozi wa Ulaya katika video call (conference call) kuwa huwenda wasimuone hai tena milele kufuatia jeshi la Urusi linavyozidi kujikusanya na ktk viunga vya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, alimo rais huyo. Ambapo yeye ni taget namba 1.

Ktk conference call hiyo amewashukuru viongozi hao wa Ulaya lakini pia akawalaumu kwa kushindwa kwao kumzuia Rais Putin asiendelee kuingia zaidi Kyiv.

"NANI YUKO TAYARI KUPIGANA PAMOJA NASI DHIDI YA PUTIN?...KWA KWELI SIMUONI HATA MMOJA"

Kwa kweli mie binafsi (Sikirimimimasikini) nimemuonea huruma sana rais huyu, bora Putin angekubali kuzungumza nae tu na wala asimuue.
======


Ukraine’s President Volodymyr Zelensky warned European leaders in a conference call that they may never see him alive again as Russia’s army masses outside the Ukrainian capital Kyiv.

Zelensky issued the warning during a discussion with several other European leaders on Friday. A day earlier, the Ukrainian president warned that Russian “sabotage teams” had entered Kyiv in search of him and his family. On the call, Zelensky thanked them for their support but chastised them for their failure to do more to stop Russian President Vladimir Putin’s advance.

“Who is ready to fight with us? Honestly, I don’t see anyone .. .I’m asking them, are you with us?” Zelensky said, according to the Financial Times.
 
Nimesoma historia..sijawai kusoma popote Vita iliyopiganwa kwasababu za kijinga Kama hii..Russia Ni watu wa hovyo Sana
Mkuu vipi zile zilizopigwa kwa kutuaminisha dunia nzima kuwa Saddam ana silaha za maangamizi, halafu walivyokwisha muua na kuiharibu Iraq hazikuonekana silaha hizo?
 
Nimesoma historia..sijawai kusoma popote Vita iliyopiganwa kwasababu za kijinga Kama hii..Russia Ni watu wa hovyo Sana
Sababu ya kijinga? Haitakaa itokee kamwe taifa kubwa kama Russia kumruhusu NATO na Marekani wawe na access na mipaka yao kupitia nchi iliyopakana nae, sababu kwa kufanya hivyo atakua kajiweka hatarini kiusalama. Marekani ni mnafiki, unadhani angekubali Russia awe na ushirika na nchi kama Mexico na kuwa na uwezo wa kupeleka majeshi yake? Hakuna anaependa vita, ila Putin hakua na chaguo jingine. Hakuna namna yoyote angeweza kuruhusu Ukraine ajiunge NATO, never. Siku chache zijazo rais wa Ukraine atapinduliwa, kisha Putin ataweka mtu anaemmudu kama yule aliekuwepo kabla ya huyu wa sasa, na biashara itaishia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ya kijinga? Haitakaa itokee kamwe taifa kubwa kama Russia kumruhusu NATO na Marekani wawe na access na mipaka yao kupitia nchi iliyopakana nae, sababu kwa kufanya hivyo atakua kajiweka hatarini kiusalama. Marekani ni mnafiki, unadhani angekubali Russia awe na ushirika na nchi kama Mexico na kuwa na uwezo wa kupeleka majeshi yake? Hakuna anaependa vita, ila Putin hakua na chaguo jingine. Hakuna namna yoyote angeweza kuruhusu Ukraine ajiunge NATO, never. Siku chache zijazo rais wa Ukraine atapinduliwa, kisha Putin ataweka mtu anaemmudu kama yule aliekuwepo kabla ya huyu wa sasa, na biashara itaishia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe tu wakweli.

Katika mazingira hayo ya NATO na marekani kuja kukaa ubavuni kwako ungekuwa ndiyo wewe PUTIN ungechukua uamuzi gani?

Udongo uwahi ungali mbichi.

Ningefanya alichokifanya. Maana alijaribu mbinu zote za majadiliano Zelensky akajazwa kiburi.
 
SmartSelect_20220225-233102_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom