Rais wa Ukraine awaambia NATO: 'Hii yaweza kuwa mara yenu ya mwisho kuniona nikiwa hai!'

Rais wa Ukraine awaambia NATO: 'Hii yaweza kuwa mara yenu ya mwisho kuniona nikiwa hai!'

Rais wa Ukraine Zelensky amewaonya marais na viongozi wa Ulaya katika video call (conference call) kuwa huwenda wasimuone hai tena milele kufuatia jeshi la Urusi linavyozidi kujikusanya na ktk viunga vya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, alimo rais huyo. Ambapo yeye ni taget namba 1.

Ktk conference call hiyo amewashukuru viongozi hao wa Ulaya lakini pia akawalaumu kwa kushindwa kwao kumzuia Rais Putin asiendelee kuingia zaidi Kyiv.

"NANI YUKO TAYARI KUPIGANA PAMOJA NASI DHIDI YA PUTIN?...KWA KWELI SIMUONI HATA MMOJA"

Kwa kweli mie binafsi (Sikirimimimasikini) nimemuonea huruma sana rais huyu, bora Putin angekubali kuzungumza nae tu na wala asimuue.
======


Ukraine’s President Volodymyr Zelensky warned European leaders in a conference call that they may never see him alive again as Russia’s army masses outside the Ukrainian capital Kyiv.

Zelensky issued the warning during a discussion with several other European leaders on Friday. A day earlier, the Ukrainian president warned that Russian “sabotage teams” had entered Kyiv in search of him and his family. On the call, Zelensky thanked them for their support but chastised them for their failure to do more to stop Russian President Vladimir Putin’s advance.

“Who is ready to fight with us? Honestly, I don’t see anyone .. .I’m asking them, are you with us?” Zelensky said, according to the Financial Times.
huyu jamaa atajinyonga ili mradi asifike
 
Ha ha haa...Ze Comedian keshasepa.

Rais Putin ni hatari. Wachambuzi wa maswala ya vita wanamuelezea kuwa hana historia ya kushindwa vita alizopigana ndani ya milongo miwili (two decades) aliyokaa madarakani. Kisha wanaelezea namna atakavyoshinda vita ya Ukraine

Okay
 
Back
Top Bottom