Wakati anamleta ulikuwepo au ulimafahamu GAMONDI..?Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
duh unatuliaje penye maumivu we noma aseWanayanga tutulie tumpe muda mwalimu
Du mna midomo😄😄😄Wachezaji wa yanga wanawaza tu ngono... wanacheza mpira huku mamboo yamesimama, kocha mwenyewe anawaza tu kunyuka pamba na suti bling bling utafikiri ni Mr Blue
Bado hawajasema ngoja tumsubiri msemaji wao atasemaje kuhusu game yao na TP mazembeNa watapasuka mno
😀😀😀
Yule anabwabwaja tuBado hawajasema ngoja tumsubiri msemaji wao atasemaje kuhusu game yao na TP mazembe
We ndio umeongea kweli sasa.Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Huyo Hers anachangia milioni ngapi kwenye Yanga?Umeshiba tembele unafokafoka unachangia milion ngapi kwenye timu?
Wewe mbona ujaachia ngazi kwenye familia yako na ueleweki mambo yako? Unamwambia Engineer aachie ngazi kwa lipi aswaa? Kalete kocha wako basi wewe!Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Akili kaziweka likizoYule anabwabwaja tu
Lakini nina kumbukumbu bibie alisema kama huu utopolo wa hers lazma mwaka huu tutage kweli watu mna macho ya 3 kimpira hongera niffaNdugu yangu, mimi nililaani vikali nikawaambia huu upuuzi wa Hersi utatugharimu nikatukanwa sana.
Ligi ya mabingwa ndio kwaheri, na kombe la ligi hatutaweza kulitetea.
Wakati mwengine nimeanza kupata sense kwa nn simba ikiwa mbovu yanga wanaisema na cile vile kwa yanga hii ni kwamba tuache utani kama watanzania timu moja ikiwa tiamajitiamaji kimataifa uzito unampa timu nyengn kukusanya point mfano simba na utani wetu tunaomba japo yanga akafunge gemu zote lakn afike robo na ikumbukwe point za robo kwa yanga zina uzito mkubwa kuliko simba kufika nusu sasa leo hz timu mbl zisipofika robo tutakua tupo hatarini na nafasi zetu 4 kimataifaTimu apewe Mzee Magoma
Mhhh umenifikirishaUtamu wa kufungwa sasa tumeuzoea, zamu ya tp mazembe naye tunaenda kumpa.
Yaani lile timu ibenge kama NGO yake mpk wachezaji wanamwona kama baba yao jaman cc hatuwez iga kama ibengeYanga atakua na point 7 km akijitajidi
1: vs mazenbe anachukua 4 point
2: vs mc-Alger Dsm.
3: timu ya Ibenge hawezi patakitu iletimu imekaa pamoja muda mrefu ,wachezaji na kocha wao
Imeamdikwa kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyeweWakati mwengine nimeanza kupata sense kwa nn simba ikiwa mbovu yanga wanaisema na cile vile kwa yanga hii ni kwamba tuache utani kama watanzania timu moja ikiwa tiamajitiamaji kimataifa uzito unampa timu nyengn kukusanya point mfano simba na utani wetu tunaomba japo yanga akafunge gemu zote lakn afike robo na ikumbukwe point za robo kwa yanga zina uzito mkubwa kuliko simba kufika nusu sasa leo hz timu mbl zisipofika robo tutakua tupo hatarini na nafasi zetu 4 kimataifa