Rais wa Yanga SC Injinia Hersi mlimleta Bigirimana kwa Mbwembwe zote, mbona sasa mnaachana nae Kimya Kimya?

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi mlimleta Bigirimana kwa Mbwembwe zote, mbona sasa mnaachana nae Kimya Kimya?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naona nae Kawadindia ( Kawakatalia ) na anataka mumlipe Tsh Milioni 700 zake la sivyo anabisha hodi FIFA Kudadadeki.

Halafu Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) na GSM wako ( yako ) si mnasema mna Hela? Sasa mbona mnamsumbua mno Tajiri wa NATION GAS Rosti Tamu ukila na Aziz pamoja na Mzee Kijana Mhudhuriaji wa Show ya Mario Kesho Mlimani City ili wawasaidieni Pesa za Mchango ili mmalizane mazima na Mchezaji wenu aliyeweza Kucheza Ligi Ngumu na Kubwa ya Uingereza ( Premier League ) ila hii yetu Nyepesi ya Madafu ( NBC Premier League ) imemshinda Gael Bigirimana?

Kazi ipo........!!!!!!!
 
Li Team La Hovyo Limejaa, Maringo, Majifuno, Kujisifia Kumbe Hata Halina Kitu
 
U - Upumbavu...
T - Tunaofanya...
O - Ondoka...
P - Palipo...
O - Ozeshwa...
L - Linda...
O - Odds tu....
 
We Shankupe GSM sio wanasema wana hela. Wale hela wanazo na hawana shida kuprove kwa kinyamkera yoyote kwa sababu majarida aminika kama Forbes ndio yanazungumza kuhusu hao jamaa.

Kuhusu swala la Bigirimana hilo ni swala la kitaasisi na kiofisi sio swala la kukurupuka kama ambavyo unataka wewe iwe au kama mkurupuko wa upatikanaji wa CEO wa makolo. Tulia utaarifiwa wakati ukifika
 
Back
Top Bottom