Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jifunze Ustaarabu na una mengi ya Kujifunza kutoka kwa Viongozi wa Simba SC

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jifunze Ustaarabu na una mengi ya Kujifunza kutoka kwa Viongozi wa Simba SC

Ajifunze kushiriki mashindano yenu ya akina mama huko umbumbumbuni hakuna cha kujifunza
1000228166.jpg
 
umemsahau yule kiongpzi wa mbumbumbu alietukana waandishi wa habari,unatumia nini kufikiria mkuu? au hayo uliyokalia 😉
 
Ajifunze kushiriki mashindano yenu ya akina mama huko umbumbumbuni hakuna cha kujifunza
Nilitaka kukujibu ila baada ya kujua ni shabiki wa yanga ambae sio Sunday Manara wala mzee Kikwete nikaamua kukaa kimya
 
Hivi Hersi Huwa ni injinia wa category ipi?, civil engineer, electrical engineer, mechanical engineer, safety engineer, environmental engineer, maana nasikiaga injinia tu
Huyu ni hair dressers eng
 
Hivi Hersi Huwa ni injinia wa category ipi?, civil engineer, electrical engineer, mechanical engineer, safety engineer, environmental engineer, maana nasikiaga injinia tu
Labda Social Engineer
 
Umetoka Uwanjani na kama kawaida Waandishi wa Habari wanakufuata Kukuhoji unawatisha kwa Kuwaangalia kwa Macho makali huku Unazuga unakunywa Maji wakati hata Kiu chenyewe ulikuwa huna. Na kuonyesha Jeuri hukutaka Kuzungumza na ukaingia haraka Garini na Kundoka. Sijawahi kumuona Kiongozi yoyote yule wa Juu wa Simba SC akitoka Uwanjani na kukataa Kuzungumza na Waandishi wa Habari hata kama Timu ya Simba SC imefungwa.

Acha Ushamba Wewe Mtoto wa zamani wa Kariakoo katika Ghorofa za NHC zinazotazama na Zimamoto sawa?
Kweli kolo Kawa dunduka,novemba 19 mwaka Jana baada ya gemu ya watani wa jadi,mwenyekiti wenu mangungu kakataa kuhojiwa na waandishi wa habari Hadi kamkosa kibao mwanahabari mmoja,Leo Hii umesahau?
 
Back
Top Bottom