Rais wa Zanzibar Dkt.H.Mwinyi kumwapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu MPYA wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi ni tarehe 02-01-2021

Rais wa Zanzibar Dkt.H.Mwinyi kumwapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu MPYA wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi ni tarehe 02-01-2021

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi; siku ya Jumamosi tarehe 02/01/2021 saa 05:00 mchana atamuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.

Taarifa kutoka Ikulu habari Zanzibar


Image may contain: 1 person, sitting


View attachment 1664521
Mheshimiwa Mhandisi Zena Ahmed Said
Hivi huko Zanzibar wanaume walishaisha?
 
Mpemba aliyehamia Tanga na baadae Dar alikokulia, na kazi kafanya TANROSDS kabla ya kuwa RAS Tanga wakat wa JPM na baadae akawa karibu Mkuu wa wizara ya Nishati mpaka alivyoteuliwa kurudi Zanzibar jana

Huyu sio mwanasiasa usimchukulie poa
Katibu Tawala RAS wa mkoa wa Tanga, Eng Zena Ahmed Said akitoa somo la uraia

14 Oct 2019
Kwasasa habari ya watu kujitokeza kwenda kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndio inaisisitizwa na kila kiongozi nchini ambapo imebidi waongeze siku tatu baada ya zawali watu kujitokeza kwa uchache Sasa reporter wa AyoTV amekutana na kijana Kimweli akimwambia katibu Tawala RAS wa mkoa wa Tanga Eng Zena Said kuwa yeye na vijana wenzake kumi awataki kujiandikisha kwasababu kua ata wakijiandikisha ni yaleyale tu wanajua lakini baada ya maelezo na kupata elimu kutoka kwa katibu Tawala wa mkoa amekubali kwenda kujiandikisha na kuwashawishi wengine wakajiandikishe.

..............................................................................


01 January 2021
Unguja, Zanzibar

KATIBU MKUU KIONGOZI WA KWANZA MWANAMKE KUANZA KAZI LEO ZANZIBAR



Soma wasifu wa Eng. Zena Ahmed Said : gonga hapa : Q&A: A professional U-turn: From engineer to regional administrator
 
Rangi yako halisi ni hii sasa 'kupitia hiyo comment'

Wewe ndiye unayehusudu waarabu, na matamanio yako ni kuona waarabu wana take over Zanzibar (kisiasa na kiutumishi katika serikali ya mapinduzi)

Na unaumia unapoona wazanzibari weusi wanaendelea kutake over
Sikuanza mimi kuhusudu waarabu ata Mama Makinda alivaa Baibui la kamba akatinga Oman pamoja na Lukuvi wakat wa JK kuwaombea watanganyika misaada, baniani mbaya lakini kiatu chake dawa
 
Katibu Tawala RAS wa mkoa wa Tanga, Eng Zena Ahmed Said akitoa somo la uraia

14 Oct 2019
Kwasasa habari ya watu kujitokeza kwenda kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndio inaisisitizwa na kila kiongozi nchini ambapo imebidi waongeze siku tatu baada ya zawali watu kujitokeza kwa uchache Sasa reporter wa AyoTV amekutana na kijana Kimweli akimwambia katibu Tawala RAS wa mkoa wa Tanga Eng Zena Said kuwa yeye na vijana wenzake kumi awataki kujiandikisha kwasababu kua ata wakijiandikisha ni yaleyale tu wanajua lakini baada ya maelezo na kupata elimu kutoka kwa katibu Tawala wa mkoa amekubali kwenda kujiandikisha na kuwashawishi wengine wakajiandikishe .................................

01 January 2021
Unguja, Zanzibar

KATIBU MKUU KIONGOZI WA KWANZA MWANAMKE KUANZA KAZI LEO ZANZIBAR



Soma wasifu wa Eng. Zena Ahmed Said : gonna hapa : Q&A: A professional U-turn: From engineer to regional administrator
.............................................

Hongera zake, kumbe ndiyo yeye?! Nilidhani ni nasaba ya majina tu!
 
1609557972884.png

Mwanamke wa kuwa katibu mkuu kiongozi SMZ
Q&A: A professional U-turn: From engineer to regional administrator
 
Alishakuwa RAS Kilimanjaro,halafu Magufuli alipomteua Anna Mghwira kuwa RC,akamuhamishia Tanga
 
Hongera zake kwa kuchaguliwa......,..ila hiyo ndiyo picha ya mhandisi kweli jamani? au imekosewa ,kasoma wapi kipindi kile huyu coet nn, mbona.........
Ukisoma maelezo ya wasifu wake anasema uhandisi haikuwa career aliyoipenda bali iliisoma kwa vile alipewa scholarship.
 
Mbona anateuwa machotara watupu kuna nini hapa au ndo kashirikiana na maalim seif wanataka kutimiza adhma yao kuleta waarabu Zanzibar
Kwani chotara ni waarabu?!!!

Hivi rangi ya wazanzibari walio wengi unaweza kuwaita machotara?!!

Mmh labda historia ya hao jamaa wa kisiwani huijui vyema.....
 
Update:-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na katibu Mkuu Kiongozi, akichukua nafasi ya Dkt. Abdulhamid Yahya mzee aliestaafu. Hafla hiyo ya kiapo imefanyika Ikulu Jijini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa Kitaifa, akiwemo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, Mawaziri, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dk. Abdulhamid Yahya Mzee pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zubeir Ali Maulid.

Rais Dk. Mwinyi amemuapisha kiongozi huyo kushika wadhifa huo baada ya kumteua Januari mosi mwaka huu, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 49 (1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Zena Ahmed Said alikuwa Katibu mkuu Wizara ya Nishati katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika hatua nyingine, akizungumza na vyombo vya habari, Mhandisi Zena alisema atajitahidi kufanya kazi zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo iliopo ili kufikia matarajio ya Wazanzibari. Pia atafuata kanuni na sheria na kujiongeza katika ubunifu ili aweze kufikia malengo, huku akiahidi Serikali kuangalia kwa undani umuhimu wa ajira kwa vijana.

Aidha alitowa wito kwa wanawake nchini kote kujiamini na kufanya kazi zao kwa weledi pamoja na kuwataka kufanya shughuli zao kwa kuzingatia wakati na nafasi zao, sambamba na kutosubiri kusaidiwa. Mhandisi Zena Ahmed Said, anakuwa mwanamke wa kwanza nchini kushika wadhifa wa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, tangu Mapinduzi ya 1964.






View attachment 1665504
View attachment 1665506


View attachment 1665507

View attachment 1665508

===========================================================================================================

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi; siku ya Jumamosi tarehe 02/01/2021 saa 05:00 mchana atamuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.

Taarifa kutoka Ikulu habari Zanzibar.


Image may contain: 1 person, sitting



 
Mbona anateuwa machotara watupu kuna nini hapa au ndo kashirikiana na maalim seif wanataka kutimiza adhma yao kuleta waarabu Zanzibar
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kumbe bado Tanzania kuna wagonjwa wa ubaguzi karne hii ya 21!
Kwani chotara akiwa matanzania, au mwarabu au mzungu au muhindi kuna tatizo gani ?
Mtanzania mzaliwa yeyote yule ana haki ya msingi kushiriki katika ujenzi wa taifa,
Ikiwa wamepewa Waafrika safi miaka 56 na wamfuruga na kuidumaza nchi, sasa ni wakati wa machotara kujaribu zari zao za kiuongozi nchi kwenye uchumi wa BULUU.

Zanzibar bila Mwarabu Haiisimami ngoo.

Zanzibaaaaaaaaaaaaaaaa Kwanzaaa
 
Updates :-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na katibu Mkuu Kiongozi, akichukua nafasi ya Dkt. Abdulhamid Yahya mzee aliestaafu. Hafla hiyo ya kiapo imefanyika Ikulu Jijini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa Kitaifa, akiwemo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, Mawaziri, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dk. Abdulhamid Yahya Mzee pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zubeir Ali Maulid.

Rais Dk. Mwinyi amemuapisha kiongozi huyo kushika wadhifa huo baada ya kumteua Januari mosi mwaka huu, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 49 (1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Zena Ahmed Said alikuwa Katibu mkuu Wizara ya Nishati katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika hatua nyingine, akizungumza na vyombo vya habari, Mhandisi Zena alisema atajitahidi kufanya kazi zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo iliopo ili kufikia matarajio ya Wazanzibari. Pia atafuata kanuni na sheria na kujiongeza katika ubunifu ili aweze kufikia malengo, huku akiahidi Serikali kuangalia kwa undani umuhimu wa ajira kwa vijana.

Aidha alitowa wito kwa wanawake nchini kote kujiamini na kufanya kazi zao kwa weledi pamoja na kuwataka kufanya shughuli zao kwa kuzingatia wakati na nafasi zao, sambamba na kutosubiri kusaidiwa. Mhandisi Zena Ahmed Said, anakuwa mwanamke wa kwanza nchini kushika wadhifa wa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, tangu Mapinduzi ya 1964.






View attachment 1665504
View attachment 1665506


View attachment 1665507

View attachment 1665508

===========================================================================================================

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi; siku ya Jumamosi tarehe 02/01/2021 saa 05:00 mchana atamuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.

Taarifa kutoka Ikulu habari Zanzibar.


Image may contain: 1 person, sitting




Mhe.mhandisi Zena Ahmed Said afichua siri ya safari yake ya uongozi

Ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Zanzibar, Zena Said ni mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo katika Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Dk Hussein Mwinyi.

Soma zaidi habari hii kwa kubofya link >>> Mhe.mhandisi Zena Ahmed Said afichua siri ya safari yake ya uongozi
 
Back
Top Bottom