Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi aanza kutema cheche, amtumbua Mkurugenzi wa Bandari

Nimecheka kwa nguvu hilo igizo. Inaonekana kabla ya kupewa hiyo nafasi na vyombo vya dola, kwenye ule utapeli uitwao uchaguzi wa juzi, alikula rehesal ya zile episode za magu wakati anaingia madarakani kwa mara ya kwanza! What about joke.
Dr Mwinyi alisema akiwa mkubwa anataka kuwa kama Dr Magufuli🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na sasa ameshakua mkubwa😍🇹🇿👏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…