Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Hivi huko wakristo hawapo
Hili swali nilijiuliza juzi wakati wanamuapisha askari wa gwaride (viongozi) wote ni waislamu,inawezekana kule ni waislamu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huko wakristo hawapo
Ushuzi mtupu
Mbowe na saccos Yake.Nani alimchagua huyu kuwa Rais?
Majizi ya kura mnahangaika!Mbowe na saccos Yake.
Wazanzibari.Nani alimchagua huyu kuwa Rais?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasamehe bure, wana stress za kipigoWakati wengine wanatamani kuwa kama rais Magufuli wengine wanatamani kuwa kama Tundu
Maisha ndivyo yalivyo[emoji5][emoji5][emoji5]
Umeandika nini sasa😁😁😁Eti zanzibar napo kuna rais..wakati wanalishw na tanganyika..sibora tu tuufanye mko ijulkane moja.
Chaajabu huyu raisi mpa hata hafananii kabisa..yana kama monita wa darasa la pili.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasamehe bure, wana stress za kipigo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka vibaya, kwamba anataka kuwa kama Magufuli! Kazi ipo. Kuna vitu sijawahi hata kujaribu kufikiria.
[emoji38][emoji38]Wakati wengine wanatamani kuwa kama rais Magufuli wengine wanatamani kuwa kama Tundu
Maisha ndivyo yalivyo[emoji5][emoji5][emoji5]
Kule wote wakimaliza kupata haja kubwa wanatumia maji badala ya makaratasiHivi huko wakristo hawapo
Teuzi Gani?[emoji38]Tuliwaambia wapenzi wa Tundu hapa wakawe mawakala wasijesema wameibiwa kura wakachukulia powa
Walioenda nao hawakupewa posho ati waliahidiwa teuzi. Chadema hawajawahi kuwa serious na siasa jamani
Wazanzibari wa pemba na unguja sio mabeberuNani alimchagua huyu kuwa Rais?
Wakati wengine wanatamani kuwa kama rais Magufuli wengine wanatamani kuwa kama Tundu
Maisha ndivyo yalivyo☺☺☺