Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi aanza kutema cheche, amtumbua Mkurugenzi wa Bandari

Watoto wa Magu wabishi sana nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila kama ni ya Mbowe lazima niione.
Mbowe alinivunja sana mbavu alivyosema ndani ya masaa72 Atakuwa waziri mkuu[emoji38]
Sijui alikuwa ndotoni[emoji848]
Huwa najiuliza sipati majibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chadema ni mabingwa wa kujifariji😁😁😁
 
lazima awepo Rais wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Zanzibar haitokuwa mkoa hata siku moja, alishindwa Baba wa Taifa la Tanganyika kuifanya mkoa Zanzibar
sebule wajukuu zake.

Thubutu😛😛
 
Chadema ni mabingwa wa kujifariji[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiwa humu JF unaweza hisi nchi inapinduliwa[emoji1787]
Yaani kabisa kuna watu walikuwa wanajadili Mbowe anafit kwenye Uwaziri Mkuu mara tutavunja Baraza lote la Mawaziri, tunapanga upya.
Kumbe ndio hao mawakala wao walikuwa wakisubiri teuzi maskini[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…