Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Sasa naanza amini yatamkuta ya mtangulizi wake hivi punde

Nasikia eti amepanga kuendeleza task force kama Ile ya wakati ule, ikiwa ni kuwanyanganya wafanyabiashara fedha

Naona anapita mule mule alimopita mtangulizi wake
Sisi watumishi kazi yetu ni kuomba nankuliombea taifa
 
Ninabisha kwasababu tatu;
-Netanyahu alikiri kwa mdomo wake kuwa hawahusiki na kifo cha Ebrahim.
-Uchunguzi umefanyika na ripoti ikagundulika ni uchakavu wa helikopta na hakukuwa na interference yeyote.
-Kiakili tu za kawaida hakuna matokeo positive ya kumuua rais wa Iran ilhali supreme leader ni Ayatollah,ni sawa useme uiangushe Israel kwa kumuua Rais wao ilhali mwenye supremacy ni Netanyahu.
Kifuu, kifuu, kifuu!
 
Ndo mana tunamsanua hapa. Anayoambiwa hapa hawezi ambivalent hata na hao TISS.

Huko CCM ndo wanasubiri aje mwingine makundi mengine wapate ulaji.
Ambivalent, ina jumuisha mrejesho chanya na hasi, kwenye ujasiriamali unatakiwa upate mrejesho toka kwa wateja huwezi kuchukia ukipata mrejesho hasi lengo la kupata mrejesho ni kuboresha huduma ama bidhaa, kwa kufanya hivyo unajihakikishia wateja hawakauki kwenye biashara yako, " feedback from customers will keep them for life"
 
Kibibi kimezingua mno leo, halaf kinaichukulia Tanganyika kama Kizimkazi vile, nyau kweli kibibi kile
Alisema " Yeye anaongoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na SIYO Serikali ya SAMAKI"" Upuuzi mtupu.
 
Urusi usiingize kabisa kwenye huu mjadala Wala siyo level yetu. Urusi ndio alimaliza vita ya pili ya Dunia, urusi mpaka sasa hao unaowaona mabwana wakubwa wa Dunia wanamtegemea urusi hasa kwenye mafuta , gesi na teknolojia ya anga . Kijeshi kwa sasa Urusi anashika nafasi ya kwanza duniani baada ya Putin kusaini sheria ya kuongeza wanajeshi hapo Jana.
Urusi haijawahi kupigana vitakuu ya pili ya dunia, pia vita hiyo ilimalizwa Marekani baada ya Japan kujisalimisha kwa US.
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Huyu acha ajipe kichwa. Walahi watapita nae. Wazungu ni next level wakikuamulia.
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Tanzania haiongozwi kwa amri kutoka Washington DC, 10 Downing Street wala Brussels. Tunachofanya ni heshima ya kidiplomasia. Mzee Mugabe aliwahi kumwambia Tony Blair: " Blair, kaa na England na mimi niache na Zimbabwe yangu." Nasimama na Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan. 🙏🙏🙏
 
Tanzania haiongozwi kwa amri kutoka Washington DC, 10 Downing Street wala Brussels. Tunachofanya ni heshima ya kidiplomasia. Mzee Mugabe aliwahi kumwambia Tony Blair: " Blair, kaa na England na mimi niache na Zimbabwe yangu." Nasimama na Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan. 🙏🙏🙏
Ehee Mzee Mugabe aliishia wapi?
 
Back
Top Bottom