Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Sio mimi walosema ni wenyewe Iran.
Tokea utawala wa kiislam uingie waliwekewa vikwazo vya kununua hizo helikopta pamoja na spare zake.
Aya wewe niambie wangewezaje kuifanyia ukarabati kwa vifaa vya wapi!??
Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??

Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
 
Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??

Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
Achana nae msukule wa China na Urusi huyu
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
yaani haupo kuielekezwa wakati hauna pesa, na wao walikuwa wanakueleza lalamiko la wananchi kwamba watu wanapotea kimasihara?
 
Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??

Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
Nachozungumzia mimi sio service za kawaida bali ubadilishaji wa vifaa.
Service ya kubadilishwa spare haijawahi kufanyika kwa hizo helikopta.
Ilibaki kufanyiwa matengenezo ya kawaida tu ambayo sio yenye ufanisi.
Helikopta sio kama baiskeli kaa ujue hilo.
Hivi unajua kama hizo Bell 212 zilishatolewa model mpya??
Na tangia 1979 walipigwa vikwazo na kuzuiwa kununua spare za hizo helikopta.
We utasema hapo kulikua na service ya maana imefanyika!??
Au wewe una akili kuliko IRGC red crescent team ambao walidai walikua wanaitumia kama ambulance mara moja moja!??
Jinga kabbissa
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Kajichanganya.
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Kwanza putin mpe mwaka mmoja tu kuanzia sasa atakuwa ndembe ndembe wezake wanamuua kiuchumi
 
Nachozungumzia mimi sio service za kawaida bali ubadilishaji wa vifaa.
Service ya kubadilishwa spare haijawahi kufanyika kwa hizo helikopta.
Ilibaki kufanyiwa matengenezo ya kawaida tu ambayo sio yenye ufanisi.
Helikopta sio kama baiskeli kaa ujue hilo.
Hivi unajua kama hizo Bell 212 zilishatolewa model mpya??
Na tangia 1979 walipigwa vikwazo na kuzuiwa kununua spare za hizo helikopta.
We utasema hapo kulikua na service ya maana imefanyika!??
Au wewe una akili kuliko IRGC red crescent team ambao walidai walikua wanaitumia kama ambulance mara moja moja!??
Jinga kabbissa
Kumbe niko najadili na very low minded person, Itoshe kusema, wewe hujitambui.
 
Hakuna kitu nyie bawacha mtaongea mueleweke ingieni porini ili tuone kama Putin anategemewa
We unabishana na huyo!?
Mtu anayekwambia Russia anategemea kuuza silaha peke yake.
Hajui hata vyanzo vya mapato ya Russia,hajui kama Germany na mataifa mengi ya Ulaya yananunua gesi na petroleum Russia.
 
Back
Top Bottom