Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??Sio mimi walosema ni wenyewe Iran.
Tokea utawala wa kiislam uingie waliwekewa vikwazo vya kununua hizo helikopta pamoja na spare zake.
Aya wewe niambie wangewezaje kuifanyia ukarabati kwa vifaa vya wapi!??
Sio lazima uelewe kila kituNiwe mkwel sijaelewa kitu hapa kinaongelewa
Achana nae msukule wa China na Urusi huyuHata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??
Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
yaani haupo kuielekezwa wakati hauna pesa, na wao walikuwa wanakueleza lalamiko la wananchi kwamba watu wanapotea kimasihara?Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Kwakweli hata mimi nimemshanga sana huyu jamaa! yani ameshindwa kujiongeza hata kwa akili ya kawaida tu.Na una amini kuwa Helcopter waliyompandisha Rais wao haikufanyiwa service tangu mwaka 1970's
We kweli zuzu
Uko sahihi, sio muhim sanaSio lazima uelewe kila kitu
Nachozungumzia mimi sio service za kawaida bali ubadilishaji wa vifaa.Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??
Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
sina haja ya kumuuliza mtu- nakuona mwenyewe- unabisha?Nani kakwambia mimi Chadema?
Kajichanganya.Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Muuza utumbo hakosi inzi , muokota makopo hapitii mbele ya bar!Huyu mama ame zowea tabia za uswahili. Ukiwa kiongozi hutakiwi kuwa mtu wa mipasho.
Mipasho waachiwe waimba taarabu
Kwanza putin mpe mwaka mmoja tu kuanzia sasa atakuwa ndembe ndembe wezake wanamuua kiuchumiNaona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Kumbe niko najadili na very low minded person, Itoshe kusema, wewe hujitambui.Nachozungumzia mimi sio service za kawaida bali ubadilishaji wa vifaa.
Service ya kubadilishwa spare haijawahi kufanyika kwa hizo helikopta.
Ilibaki kufanyiwa matengenezo ya kawaida tu ambayo sio yenye ufanisi.
Helikopta sio kama baiskeli kaa ujue hilo.
Hivi unajua kama hizo Bell 212 zilishatolewa model mpya??
Na tangia 1979 walipigwa vikwazo na kuzuiwa kununua spare za hizo helikopta.
We utasema hapo kulikua na service ya maana imefanyika!??
Au wewe una akili kuliko IRGC red crescent team ambao walidai walikua wanaitumia kama ambulance mara moja moja!??
Jinga kabbissa
Hakuna kitu nyie bawacha mtaongea mueleweke ingieni porini ili tuone kama Putin anategemewaKumbe hata hujauelewa uzi
Huwezi hoja kaa pembeni.Kumbe niko najadili na very low minded person, Itoshe kusema, wewe hujitambui.
We unabishana na huyo!?Hakuna kitu nyie bawacha mtaongea mueleweke ingieni porini ili tuone kama Putin anategemewa
wasanii 200 na wana michezo wachache walio lambishwa asali wana mdanganya aone kama anapendwa.
ila kama ume msikia vizuri anasema eti wale jamaa walitoa tamko bila kibali kutoka mataifa yao ..
sasa si awatimue nchini tujue kama ni kweli