Rais wetu, mama Samia, ingilia kati mgogoro wa wafanyabiashara, watakuelewa wewe zaidi kuliko yeyote yule kwa sasa.

Rais wetu, mama Samia, ingilia kati mgogoro wa wafanyabiashara, watakuelewa wewe zaidi kuliko yeyote yule kwa sasa.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ombi kwa Rais wangu mpendwa mama Samia, nakuomba uongee na wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuita viongozi wao wachache katika timu yao ya Uongozi, maana nadhani wamezingukana katika kutoa kauli, nakuomba Waite kesho Jumatano saa 4,asb, ongea nao kwa kifupi mno, na watakuelewa zaidi ya yeyote yule!, by saa sita, mchana biashara zifunguliwe kazi iendelee!.....
 
Ombi kwa Rais wangu mpendwa mama Samia, nakuomba uongee na wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuita viongozi wao wachache katika timu yao ya Uongozi, maana nadhani wamezingukana katika kutoa kauli, nakuomba Waite kesho Jumatano saa 4,asb, ongea nao kwa kifupi mno, na watakuelewa zaidi ya yeyote yule!, by saa sita, mchana biashara zifunguliwe kazi iendelee!.....
mpaka naondoka asubuhi ya leo nimeacha biashara zinafunguliwa. karibu asilimia 55 tayari walishafungua maduka yao.

sioni sababu ya kumsumbua Mama yetu wakati mambo yashatengemaa. Ni matumaini yangu kesho asubuhi maduka yote yatafunguliwa na biashara zitaendelea kama kawaida.

sa hivi macho yetu tumeelekeza Mwanza. mtujuze kinachoendelea huko.
 
Rais ana majukumu mengi hao wafanyabiashara waongee na Kafulila aka Tumbiri
Yaelekea unafurahishwa na kinachoendelea tatizo ni, wamesha wahi ahidiwa bila matekelezo na viongozi waliopo!, what are they looking for, Madam president!, tena kauli ndogo tu, inatosha kabisa, "" Naomba endeleeni na biashara hili nalichukuwa "" inatosha sana.
 
Ndo kusema viongozi wote wa serikali wameshindwa hadi Rais awaite?
Viongozi wanapaswa kuvaa viatu vya walalamikaji na kutatua kero zao kwa hekima na busara.
Tukijenga mazoea ya kumsikiliza Rais pekeyake itakuwa hatari kwa Taifa.
 
Ndo kusema viongozi wote wa serikali wameshindwa hadi Rais awaite?
Viongozi wanapaswa kuvaa viatu vya walalamikaji na kutatua kero zao kwa hekima na busara.
Tukijenga mazoea ya kumsikiliza Rais pekeyake itakuwa hatari kwa Taifa.
Some of them wanaweza, but most of them they are not competitive enough
 
Ok!
 

Attachments

  • GPcbzUCaQAARSfH.jpeg
    GPcbzUCaQAARSfH.jpeg
    20.1 KB · Views: 2
MAMA anachapa kazi nyingine hili la kariako kama chadema mnategemea kumyumbisha mmenoa wallah huyu mama ni makini ajabu
 
Ombi kwa Rais wangu mpendwa mama Samia, nakuomba uongee na wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuita viongozi wao wachache katika timu yao ya Uongozi, maana nadhani wamezingukana katika kutoa kauli, nakuomba Waite kesho Jumatano saa 4,asb, ongea nao kwa kifupi mno, na watakuelewa zaidi ya yeyote yule!, by saa sita, mchana biashara zifunguliwe kazi iendelee!.....
Changamoto ni sehemu ya biashara mfanyabiashara akifanikwa kuzitatua changamoto zake hufanikiwa, asilimia 80 ya mafanikio katika biashara yana mtegemea mjasiriamali, lakini asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka ni pamoja na yasiyoyatarajiwa hii asilimia 20 Ina nguvu hata kuua biashara endapa jamii zetu zitaendelea kufumba macho ama kuziba masikio Kwa kuto kubuni mbinu za kukabiliana na changotmoto
 
Huyu Mama anayetunyima Katiba Mpya ngoja tulianzishe na sisi 😁 ✌️✌️✌️
 
Ombi kwa Rais wangu mpendwa mama Samia, nakuomba uongee na wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuita viongozi wao wachache katika timu yao ya Uongozi, maana nadhani wamezingukana katika kutoa kauli, nakuomba Waite kesho Jumatano saa 4,asb, ongea nao kwa kifupi mno, na watakuelewa zaidi ya yeyote yule!, by saa sita, mchana biashara zifunguliwe kazi iendelee!.....
Naunga mkono hoja
P
 
Ombi kwa Rais wangu mpendwa mama Samia, nakuomba uongee na wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuita viongozi wao wachache katika timu yao ya Uongozi, maana nadhani wamezingukana katika kutoa kauli, nakuomba Waite kesho Jumatano saa 4,asb, ongea nao kwa kifupi mno, na watakuelewa zaidi ya yeyote yule!, by saa sita, mchana biashara zifunguliwe kazi iendelee!....
Unataka Mh. Rais aingilie kwa lipi? Yaani kila mtu "AKIDEMKA" Mh. Rais aingilie kati?
 
Kweli aisee aende badala ya matahira kama lile tahaira lililopita
 
Back
Top Bottom