Rais Wetu "Mchelea Mwana Kulia, Endelea Kuwachekea, Nyani "UKAWA!", Utayavuna Mabua

Usimfariji wala!!!!!!
Kaandika la kwanza akaja kuongeza nyama baadaye ila hakuna juha wa kutoelewa mantiki yake isipokuwa mnaosoma bila.kulinganisha dhamira yake ndio mumuaminio muandishi asiye huru ni hatari kuaminika!!!!!

Afadhali yako wewe umesoma bandiko lote na ukaja na hitimisho la kwamba muandishi sio huru, naongelea lile kundi linalosoma heading tu na likishaona maelezo mengi, linakimbilia kupost kitu.

Nnachokiona hapa, kwa awamu hii na mchakato unavyoendelea, kupata katiba bora tusahau na kama inawezekana inabidi sheria, utaratibu na mpangilio mzima ubadilike kwa kiasi kikubwa sana. Jambo ambalo sioni likitokea kwa awamu hii. Mbaya zaidi tutatumia pesa nyingi na huenda zikawa nyingi zaidi ya zile ambazo tungetumia kupata katiba bora kwa kupata bora katiba.
 

Umesahau ya Lyibia, Misri, Yemen na hatimaye CCM wenyewe walijaribu Zanzibar (Pemba) wakashindwa wakaamua kuwepo na SUK!!!!
 

Nadhani hujamwelewa PASCO anaongelea nini...soma tena utamwelewa!
 
Mkuuu Pasco, hili bandiko lako linatutesa kufikiri sisi wengine tuna vichwa vyepesi sana, yaani ni kama biblia usipokuwa na roho mtakatifu hili bandiko lazima likupite kushoto
 
Last edited by a moderator:
Wakati Zoezi la kupiga kura likiendelea, najikumbusha kidogo baadhi ya hoja za msingi kuhusu katiba!.

Pasco
 
Kuna wengi wanadhani hii move ya Lowassa kujiunga Chadema ni surprise move, CCM hawakujua hivyo wamekuwa taken by surprise!, hivyo CCM is in shock!, nimeliweka bandiko hili kuwakumbusha kuwa akina sisi humu JF, tuliisha mtahadharisha JK siku nyingi, ila aliendelea kuwachekea nyani!, sasa October 25, atayavuna mabua!.

Pasco
 

Haina shida vumilia tu Oktoba sio mbali!
 
Najikumbuha tuu!.

Pasco
 

Hili za Zanzibar, wengine tuliliona tangu 4th May 2014 na tukalizungumza humu.

Leo Zanzibar tunayavuna mabua!.

Pasco

 
Tanzania tunafanya uchaguzi ili kuwaridhisha tuu nchi wahisani waendelee kutufadhili!.

Pasco
 
Kama ulidhani mimi ndio nawatisha na jeshi letu, kesho nenda katalii Zenji!.

Pasco
 
Naendelea, ikitosha sema!
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…