Acha kuitisha Kdf wewe mnyarwanda....Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.
Uganda iwasupply M23 tuone kama DRC na Kenya hawajaanza kulialia.
Nani atawasupply Kenya au wanategemea KenyanAirways?
Bora yule Mzee wa Kijaluo angeshinda uchaguzi Kenya isingeingizwa kwenye Trap kwenda kuua Vijana wake mwituni.
Najijibu mwenyewe najishambulia mwenyewe wacha nikalale mie,too many fake IDs.Acha kuitisha Kdf wewe mnyarwanda....
Hiii mnadanganyana mkiwa mnafanya nini. Al shababy uliona wapi wanapigana vita uso kwa uso kama si kujilipua na kuteka raia? Kenya kiingereza wamekuzidi wewe ambaye hukusoma vizuri. Kijeshi sijui. Lakini al shababy hawajawaweza wakenyaal shabaab wanaopigana jangwani panapoonekana tu wamewashinda, wataweza kupigan ana watu wa msituni wanaojificha kwenye miti? wakenya wanachekeshaga sana. wanachotuzidi ni uchumi tu na kiingereza, ila vingine hawana uwezo. inasemekana al shabab hadi wanawala kiboga hao askari huko somalia.
Sure mkuu,lkn sababu ye mwenyewe Ni mtu wa intelligence atakua anajua afanyacho.Kagame awe makini tu kwenye safari yake ya Burundi aweke maanani yaliyomkuta Rwagasore hawa Wakongo pia hawaaminiki.
Mkenya umemind😂😂🤣🤣🤣Wewe mwenyewe unaliwa kiboga na uko nyumbani kwako na mke na watoto!
Natuma salama kwa mama yako mzazi, mwambie baba yako wa kambo Jay One anamsalimia😄😄 Tuma salamu kwa watu watatu mtu mzima.
Ndio Maana nikauliza tofauti ya Mandates zao Ni nini kati MONUSCO vs Jeshi la E/Africa maana nilitaka kujua wakenya watafanya Nini cha utofauti kulinganisha na MONUSCO ambao wamefeli kwa zaidi ya miaka 20.Kazi ya Monusco na EADF ni kulinda amani tu na sio vinginevyo. Ndio maana leo hii watu wanashangaa kenya imetuma wanajeshi wake ila hawajui huko zaire kuna wanajeshi zaidi ya 18,000 wa Monusco kutoka nchi mbali mbali ikiwemo marekani china na india. Na hao M23 hawawezi kuisha leo wala milele kwasababu watu wanatajirika kupitia wao. Wengi wanamlaumu kagame kwamba anawapa silaha ila sio kweli bali kuna tuhuma nyingi sana za exchanges za bunduki kwa dhahabu, bunduki kwa ndovu au pembe na bunduki kwa almasi, ambazo zinafanywa na monusco ndani ya Zaire. Tanzania tunawanajeshi wetu zaidi ya 900 huko Zaire kwahyo lazima ujiulize inakuwaje wanajeshi kibao alafu wanashindwa na M23 ukitafakari vizuri utaelewa kuna biashara kubwa sana hapo Zaire.
Mimi natuma salamu kwa baba yako mzazi mwambie wa kupuliza anasema NYORI yake Ni tamu sana yaani mnooooo,bado Ni sealed kabisa.Aendelee kuitunza hivyo hivyoNatuma salama kwa mama yako mzazi, mwambie baba yako wa kambo Jay One anamsalimia 😊
Kuria nae ni muhuni tu. Sijui alipataje uwaziri.Hivi kweli wale vifaranga walioungua moto bahati mbaya pale boda ile miaka fulani-fulani, hawakuwa wa Chief Hustler kweli?
Juzi Moses Kuria (CS wa Biashara, Uwekezaji, na Viwanda) aliulizwa na counterpart wake wa Uganda kwa nini wakatae mayai kutoka Uganda wakati ni ya kuku wao wenyewe ambao Kenya iliwauzia wakiwa vifaranga?
Monusco act accordingly to un regulations na EADF act accordingly to East Africa community regulations. Ina maana hapo hao EADF watashirikiana na Congo Zaire katika mapambano dhidi ya adui katika maeneo tofauti. Mfano kuna m23 kuna wale adf na kuna red taabara. Ina maana Congo ameomba ulinzi wa jeshi lake na litalindwa hivo akishambuliwa lazima kuwe na retaliation ni project ya miezi kama 6 au 7.Ndio Maana nikauliza tofauti ya Mandates zao Ni nini kati MONUSCO vs Jeshi la E/Africa maana nilitaka kujua wakenya watafanya Nini cha utofauti kulinganisha na MONUSCO ambao wamefeli kwa zaidi ya miaka 20.
Aliekueleza wameshindwa Somalia ni nani? Unadhani Alshabaab wako kwenye uwanja wa vita kama walivyo M23?
Sio kweli unalosema, Alshabab ni jeshi Kama jeshi la kawaida, linashikilia na kutawala baadhi ya maeneo ya Somalia Kama ilivyo kwa M23, KDF ni dhahifu kushindwa kiwafuata Alshabaab ktk maeneo Yao na kuyakomboa Kama walivyofanya RPF huko MsumbijiSomalia ngoma nzito mkuu.
Unapigana na hewa haha.
Gaidi anavaa kiraia tena kanzu na ndevu juu na hana address
kwani ni KDF tu ipo Somalia??mpaka US,UG,Ethiopia wako huko!!KDF imeshindwa ndani ya Somalia na ndani ya Kenya, ni jeshi la hovyo Sana, Alshabab wapo katika uwanja wa vita na wameshikilia maeneo ya Somalia wameyateka na wanayatawala
Wewe ndio huelewi, model ya M23 na Alshabaab ni sawa kabisa, wote wanalo jeshi lenye uniform na vikosi kamili, wote huteka na kutawala maeneo, tofauti ni kwamba Alshabaab wakati Fulani hutumia wapiganaji wa kujitoa muanga, lakini hiyo sio tatizo Kama jeshi ni imara katika(military intelligence)Nadhani hauelewi modal ya uasi wa Congo na Somalia na mapigano ni tofauti, somalia alshabaab hutumia raia kama ngao hao M23 wako field wanapigana kabisa
Hiyo miscrepa ya kirusi nayo ni ndege Vita pia?...huko Ukraine zimetia aibu tuUPDF wametulia zao tu na zile Sukhoi Su-30MK2.Kenya sijui watakua na ndege gani za kuwatisha hapo.
Hata ndani ya MONUSCO Kuna FIB na inafanya kazi hizo hizo kam za EADF.Na FIB Ina troops, air reconnaissance, surveillance drones, attack helicopters etc.Monusco act accordingly to un regulations na EADF act accordingly to East Africa community regulations. Ina maana hapo hao EADF watashirikiana na Congo Zaire katika mapambano dhidi ya adui katika maeneo tofauti. Mfano kuna m23 kuna wale adf na kuna red taabara. Ina maana Congo ameomba ulinzi wa jeshi lake na litalindwa hivo akishambuliwa lazima kuwe na retaliation ni project ya miezi kama 6 au 7.
Naomba hili itokee maana huyu jamaa anakela sanaRwanda haitotolewa bali kagame atatuma jeshi congo na ndio itakuwa anguko lake maana kdf na majeshi mengine yataingia Rwanda