Rais William Ruto atuma Jeshi Congo, KDF direct to DRC

Rais William Ruto atuma Jeshi Congo, KDF direct to DRC

Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.

Uganda iwasupply M23 tuone kama DRC na Kenya hawajaanza kulialia.

Nani atawasupply Kenya au wanategemea KenyanAirways?

Bora yule Mzee wa Kijaluo angeshinda uchaguzi Kenya isingeingizwa kwenye Trap kwenda kuua Vijana wake mwituni.
Acha kuitisha Kdf wewe mnyarwanda....
 
al shabaab wanaopigana jangwani panapoonekana tu wamewashinda, wataweza kupigan ana watu wa msituni wanaojificha kwenye miti? wakenya wanachekeshaga sana. wanachotuzidi ni uchumi tu na kiingereza, ila vingine hawana uwezo. inasemekana al shabab hadi wanawala kiboga hao askari huko somalia.
Hiii mnadanganyana mkiwa mnafanya nini. Al shababy uliona wapi wanapigana vita uso kwa uso kama si kujilipua na kuteka raia? Kenya kiingereza wamekuzidi wewe ambaye hukusoma vizuri. Kijeshi sijui. Lakini al shababy hawajawaweza wakenya
 
Ina maana Hawa jamaa wapo siriaz Sio!!?

KWA mfumuko huu wa bei,NJAA loading,corona brewing from a far wanataka kutuingiza vitani ukanda huu!?

Manamba MOJA wa nchi za ukanda huu wafanye mkutano wamalize hii sintofahamu!
 
Kagame awe makini tu kwenye safari yake ya Burundi aweke maanani yaliyomkuta Rwagasore hawa Wakongo pia hawaaminiki.
Sure mkuu,lkn sababu ye mwenyewe Ni mtu wa intelligence atakua anajua afanyacho.
 
Kazi ya Monusco na EADF ni kulinda amani tu na sio vinginevyo. Ndio maana leo hii watu wanashangaa kenya imetuma wanajeshi wake ila hawajui huko zaire kuna wanajeshi zaidi ya 18,000 wa Monusco kutoka nchi mbali mbali ikiwemo marekani china na india. Na hao M23 hawawezi kuisha leo wala milele kwasababu watu wanatajirika kupitia wao. Wengi wanamlaumu kagame kwamba anawapa silaha ila sio kweli bali kuna tuhuma nyingi sana za exchanges za bunduki kwa dhahabu, bunduki kwa ndovu au pembe na bunduki kwa almasi, ambazo zinafanywa na monusco ndani ya Zaire. Tanzania tunawanajeshi wetu zaidi ya 900 huko Zaire kwahyo lazima ujiulize inakuwaje wanajeshi kibao alafu wanashindwa na M23 ukitafakari vizuri utaelewa kuna biashara kubwa sana hapo Zaire.
Ndio Maana nikauliza tofauti ya Mandates zao Ni nini kati MONUSCO vs Jeshi la E/Africa maana nilitaka kujua wakenya watafanya Nini cha utofauti kulinganisha na MONUSCO ambao wamefeli kwa zaidi ya miaka 20.
 
Natuma salama kwa mama yako mzazi, mwambie baba yako wa kambo Jay One anamsalimia 😊
Mimi natuma salamu kwa baba yako mzazi mwambie wa kupuliza anasema NYORI yake Ni tamu sana yaani mnooooo,bado Ni sealed kabisa.Aendelee kuitunza hivyo hivyo
 
Hivi kweli wale vifaranga walioungua moto bahati mbaya pale boda ile miaka fulani-fulani, hawakuwa wa Chief Hustler kweli?

Juzi Moses Kuria (CS wa Biashara, Uwekezaji, na Viwanda) aliulizwa na counterpart wake wa Uganda kwa nini wakatae mayai kutoka Uganda wakati ni ya kuku wao wenyewe ambao Kenya iliwauzia wakiwa vifaranga?
Kuria nae ni muhuni tu. Sijui alipataje uwaziri.
 
Ndio Maana nikauliza tofauti ya Mandates zao Ni nini kati MONUSCO vs Jeshi la E/Africa maana nilitaka kujua wakenya watafanya Nini cha utofauti kulinganisha na MONUSCO ambao wamefeli kwa zaidi ya miaka 20.
Monusco act accordingly to un regulations na EADF act accordingly to East Africa community regulations. Ina maana hapo hao EADF watashirikiana na Congo Zaire katika mapambano dhidi ya adui katika maeneo tofauti. Mfano kuna m23 kuna wale adf na kuna red taabara. Ina maana Congo ameomba ulinzi wa jeshi lake na litalindwa hivo akishambuliwa lazima kuwe na retaliation ni project ya miezi kama 6 au 7.
 
TZ walikataa hiyo biashara Kenya wameiona ina faida kwao.

Yule Bwana mrefu wa kajinchi kile hakawii kuchukia akigundua kunguni wake wanabanjwa kwa mashirikiano.

Kila la kheir KDF
 
Aliekueleza wameshindwa Somalia ni nani? Unadhani Alshabaab wako kwenye uwanja wa vita kama walivyo M23?

KDF imeshindwa ndani ya Somalia na ndani ya Kenya, ni jeshi la hovyo Sana, Alshabab wapo katika uwanja wa vita na wameshikilia maeneo ya Somalia wameyateka na wanayatawala
 
Somalia ngoma nzito mkuu.
Unapigana na hewa haha.
Gaidi anavaa kiraia tena kanzu na ndevu juu na hana address
Sio kweli unalosema, Alshabab ni jeshi Kama jeshi la kawaida, linashikilia na kutawala baadhi ya maeneo ya Somalia Kama ilivyo kwa M23, KDF ni dhahifu kushindwa kiwafuata Alshabaab ktk maeneo Yao na kuyakomboa Kama walivyofanya RPF huko Msumbiji
 

KDF imeshindwa ndani ya Somalia na ndani ya Kenya, ni jeshi la hovyo Sana, Alshabab wapo katika uwanja wa vita na wameshikilia maeneo ya Somalia wameyateka na wanayatawala
kwani ni KDF tu ipo Somalia??mpaka US,UG,Ethiopia wako huko!!
Huwezi kumaliza uaalshaabab haraka inachukuaga mamiaka,sababu huwezi maliza wasomali wote💀na hujui mlipuzi Nani??pia atatokea wapi??Sasa kitu muhimu ni ku control na kuminimize attacks kwa kuwavamia Mara moja alshaabab watakapojitokeza👌polepole wasomali wote wakipata amani na kuenda shule,wataona uzuri wa amani na uhai👌
Kumbuka wana fight for who??religion!!na religion is a critical issue it's must be handled patiently👌usisababishe mambo makubwa ukakasirisha wengine👌
Ebu cheki huu mbinu umesaidia kuleta Amani na maendeleo in the bigger Somalia regions unapata only Mogadishu ndio Alshaabab menace zinatokeza Sana!!!
 
Nadhani hauelewi modal ya uasi wa Congo na Somalia na mapigano ni tofauti, somalia alshabaab hutumia raia kama ngao hao M23 wako field wanapigana kabisa
Wewe ndio huelewi, model ya M23 na Alshabaab ni sawa kabisa, wote wanalo jeshi lenye uniform na vikosi kamili, wote huteka na kutawala maeneo, tofauti ni kwamba Alshabaab wakati Fulani hutumia wapiganaji wa kujitoa muanga, lakini hiyo sio tatizo Kama jeshi ni imara katika(military intelligence)
 
Monusco act accordingly to un regulations na EADF act accordingly to East Africa community regulations. Ina maana hapo hao EADF watashirikiana na Congo Zaire katika mapambano dhidi ya adui katika maeneo tofauti. Mfano kuna m23 kuna wale adf na kuna red taabara. Ina maana Congo ameomba ulinzi wa jeshi lake na litalindwa hivo akishambuliwa lazima kuwe na retaliation ni project ya miezi kama 6 au 7.
Hata ndani ya MONUSCO Kuna FIB na inafanya kazi hizo hizo kam za EADF.Na FIB Ina troops, air reconnaissance, surveillance drones, attack helicopters etc.
 
Chief hustler anaenda kuibia wakongo rasmi. Hapo Kenya kashamaliza
 
Back
Top Bottom