Bunge letu halitaarifiwi hizo hela anatoa nani na wakirudi vilema nani anatoa fidia?.Nchi za east africa zote zitapeleka vikosi hayo yalikua makubaliano ya wakuu wa nchi toka mwezi wa nne mwaka huu hivo hata TPDF ndani ya nyumba
UPDF wametulia zao tu na zile Sukhoi Su-30MK2.Kenya sijui watakua na ndege gani za kuwatisha hapo.Kamandi ya anga!
Hivi una habari UPDF ndio wana fighter jet za kisasa ukanda huu wakifuatiwa na TPDF au upo hapa kufurahisha genge?
Bunge letu halitaarifiwi hizo hela anatoa nani na wakirudi vilema nani anatoa fidia.
Jeshi letu likienda kimya kimya yakitukuta yale ya Biafra?
Mikataba ya Angola na Kigali hapo unamaanisha Nini mkuu?EACRF - East African Community Region Force , baada ya pale tunarejerea ICGR mikataba ikoje, na mikataba ya Angola na kigali ikoje kikubwa tunataka amani Eastern Congo
Mikataba ya Angola na Kigali hapo unamaanisha Nini mkuu?
Hivi wana SukhoiMK2?😮UPDF wametulia zao tu na zile Sukhoi Su-30MK2.Kenya sijui watakua na ndege gani za kuwatisha hapo.
Kama Ni mkataba ya Angola khs amani ya Congo then mkataba unasema M23 wajumuishwe kwy jeshi la congo FARDC na watambulike kama raia wa Congo,Mkataba wa Nairobi chini ya Kenyatta nao unasema hivyo hivyo.Umebaki nyuma?
Raisi samia akabidhi bendera kwa jeshi lika pambane na moto kule kilimanjaro
Ndio mkuu walinunua 5.Hivi wana SukhoiMK2?😮
Somalia nayo inaingia 😖kwahiyo hii itakuwa ni Jumuia ya migogoro au ni ya Kibiashara🤔EACRF - East African Community Region Force , baada ya pale tunarejerea ICGR mikataba ikoje, na mikataba ya Angola na kigali ikoje kikubwa tunataka amani Eastern Congo
Kama Ni mkataba ya Angola khs amani ya Congo then mkataba unasema M23 wajumuishwe kwy jeshi la congo FARDC na watambulike kama raia wa Congo,Mkataba wa Nairobi chini ya Kenyatta nao unasema hivyo hivyo.
Congo nayo imesema kamwe hauwezi kuwatambua M23 sababu Ni terrorist group.
Una Cha ziada?
Umenibu vzr sanaAliekueleza wameshindwa Somalia ni nani? Unadhani Alshabaab wako kwenye uwanja wa vita kama walivyo M23?
UPDF wametulia zao tu na zile Sukhoi Su-30MK2.Kenya sijui watakua na ndege gani za kuwatisha hapo.
😄😄 Na hawa ndio tunaambiwa eti ndio superpower wa kijeshi E/Africa 😄😄😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23]
HV ili kujiunga m23 utaratibu uko vp naweza pata addressNadhani hauelewi modal ya uasi wa Congo na Somalia na mapigano ni tofauti, somalia alshabaab hutumia raia kama ngao hao M23 wako field wanapigana kabisa