Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Sidhani kama kagame na mu7 wamekubali, labda kishingo upandeEast Africa nzima watakuwa wamekubaliana na hii move. Kenya haiwezi kuact alone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kagame na mu7 wamekubali, labda kishingo upandeEast Africa nzima watakuwa wamekubaliana na hii move. Kenya haiwezi kuact alone
Wasomali wanachonganishwa tu, siku wakitulia watakuwa na Jeshi zuri kuzidi KDF.Wabongo tuna maneno mengi.
Somalia walimdunda hata US na ma black hawk yake wakayaangusha akaondoa jeshi.
Si Uganda ipo pale kupata madini na kagame pia vile vile kwani umeambiwa Kenya hawaijui thamani ya gold na diamond? Kijana utajua hujui ,kaa kando uone mchezo unavyochezwa.[emoji1][emoji1] Na Kenya ndio yenye wanajeshi wachache kwny peace keeping missions kwa nchi zote Afrika Mashariki yote.
😄😄😄 Kwa hio Ruto nae amejiunga kwny kuiba madini sio mkuu?Si Uganda ipo pale kupata madini na kagame pia vile vile kwani umeambiwa Kenya hawaijui thamani ya gold na diamond? Kijana utajua hujui ,kaa kando uone mchezo unavyochezwa.
wingi sio utenda kazi👌na Kama wingi ndio utenda kazi Basi Ukraine wangeshatekwa wote ama pia Israel na USA👌😄😄 Na Kenya ndio yenye wanajeshi wachache kwny peace keeping missions kwa nchi zote Afrika Mashariki yote.
Wamesema wapi wanataka kukamilisha mauaji ya kimbariHao ndio KIINI cha mgogoro na bado wanaeleza DHAMIRA yao ni kukamilisha MAUAJI YA KIMBARI waliyonza 1994 wasipodhibitiwa na wakiendelea kulindwa na DRC basi wacha Kenya nae akauone mziki.
Mimi namuunga mkono Kagame kwenye hili.
Naona umewapa na lipicha kabisa ili wasiwe na udhuru 🙂View attachment 2405167
KDF wajue wanakutana na Mwitu mzito mpaka giza, hata Kifaru hakipenyi, ni mwendo wa mguu tu halafu wakipotea M23 ndio inaenda kupata silaha za bure.
Ingia kwenye website yao mzeeWamesema wapi wanataka kukamilisha mauaji ya kimbari
Hamna unachokijua kuhusu kenya.kojoa ulaleWapiganaji wazuri Kenya ni Waturkana, ila hata wao Vita ya Msitu mzito hawaiwezi, na Jeshini sio wengi.
na Tanzania Jeshi lenu nzuri ni lipi??Wapiganaji wazuri Kenya ni Waturkana, ila hata wao Vita ya Msitu mzito hawaiwezi, na Jeshini sio wengi.
Wajue kabisa wao wakimuona Chatu mkubwa wasikimbie ndio chakula cha Jeshi la Kongo.Naona umewapa na lipicha kabisa ili wasiwe na udhuru 🙂
Kikwete alishaidhihirishia Dunia na M23 waliingia mitini mzee.na Tanzania Jeshi lenu nzuri ni lipi??
😄😄😄 Kwa hio Ruto nae amejiunga kwny kuiba madini sio mkuu?Si Uganda ipo pale kupata madini na kagame pia vile vile kwani umeambiwa Kenya hawaijui thamani ya gold na diamond? Kijana utajua hujui ,kaa kando uone mchezo unavyochezwa.
Ndicho ninachokifanya Mkuu nalala muda si muda.Hamna unachokijua kuhusu kenya.kojoa ulale
😄😄 Unamaanisha Ukraine+NATO(30 Countries)wingi sio utenda kazi👌na Kama wingi ndio utenda kazi Basi Ukraine wangeshatekwa wote ama pia Israel na USA👌
Wakurya na wabongo wote Ila kasoro wanaume wa Dar tu.na Tanzania Jeshi lenu nzuri ni lipi??