Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.

Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.

Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.

83A05526-7C7F-4F00-B86A-D7EE7CF53866.jpeg

=======

Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.

Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".

The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.

The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.

For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.

Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
 
Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi

Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea

Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika

=======

Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.

Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".

The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.

The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.

For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.

Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Anahitaji tumpelekee silaha za manati na mawe au?
 
Africa itatokea kuwa upande wowote kwa mataifa makubwa kwa sababu ni hizi:
*Africa ni wanafiki
*Asilimia kubwa ya mategemeo yetu tunategemea mataifa hayo.
*Misadaa yote inatoka kwao kwa hiyo hatuna msimamo tumuache yupi au tumsapoti yupi.
*Viongozi wengi wanategemea nguvu za mataifa hayo kama silahaa,pesa na chakula.
 
Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
We don't negotiate with invaders. Waonaje nyerere angezungumza na Idi Amin
 
Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
umamuona mjinga kuwa hajalifikiria hilo? Putin amekuwa anakwepa mazungumzo either kwa kuweka masharti ambayo hata JK asingeyakubali

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Africa itatokea kuwa upande wowote kwa mataifa makubwa kwa sababu ni hizi:
*Africa ni wanafiki
*Asilimia kubwa ya mategemeo yetu tunategemea mataifa hayo.
*Misadaa yote inatoka kwao kwa hiyo hatuna msimamo tumuache yupi au tumsapoti yupi.
*Viongozi wengi wanategemea nguvu za mataifa hayo kama silahaa,pesa na chakula.
majirani wa Urusi wanamkimbia Urusi ila waafrika ndo wanajikuta wapo neutral

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom