Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
Anakimbia kimbia na kulia lia....
he is so stupid....
watu wa NATO wanampa kiburi kumbe anazidi kuangamiza watu wake
 
Apeleke ujinga wake huko,hakuna anayehitaji kumsikiliza huyo zuzu aliyekubali kuiangamiza nchi yake ili awafurahishe US na NATO.View attachment 2184768
Wewe ulitaka akubali tu kupeleka matako yake URUSI?. Wewe utakuwa kiongozi wa nchi au matope?. Yaani maamuzi yako yalazishwe na rais kutoka nchi jirani.

Huyo rais bonge la Mwanaume halisi. Bora uingie vitani kuipambania familia yako,kuliko jirani akupangie cha kufanya katika familia yako
 
Wewe ulitaka akubali tu kupeleka matako yake URUSI?. Wewe utakuwa kiongozi wa nchi au matope?. Yaani maamuzi yako yalazishwe na rais kutoka nchi jirani.

Huyo rais bonge la Mwanaume halisi. Bora uingie vitani kuipambania familia yako,kuliko jirani akupangie cha kufanya katika familia yako
[emoji1][emoji1][emoji1] [emoji116][emoji116] hakika huyu Jamaa Ni shujaa saaana.[emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220329-215255.jpg
 
Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.

Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.

Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.

=======

Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.

Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".

The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.

The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.

For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.

Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Aje tumsaidie maswala ya uchawi tumroge Vladimir vodika Putin.

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wacha kwanza tumalizane na tozo,umeme na mfumuko wa bei then tutamsikiliza
 
Back
Top Bottom