Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.

Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.

Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.

=======

Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.

Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".

The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.

The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.

For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.

Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Mwambieni aende Moscow kuongea ma Putin vita nchini kwake viishe!
 
Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
Mvamizi atoke kwenye nchi ya watu na hapo hapo vita itaisha.
 
Wamkatalie.Fitna mkubwa huyu.Anataka aanzishe vita ya tatu ya dunia.Juzi ameendelea kuiomba Ulaya isiseme peke yake,bali waingie vitani.
Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.

Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.

Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.

=======

Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.

Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".

The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.

The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.

For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.

Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Wamkatalie.
 
Namshauri aachane na waafrika ambao ni watu waliolaaniwa na kwanza ni ombaomba ambao hawana msaada wowote kwake.

Walimdanganya Gaddafi kwamba wako naye mwisho wa siku Gaddafi alizikwa peke yake kwenye kaburi lisilofahamika jangwani.

Hawa hawa waafrika ambao kwenye dhiki hukimbilia kuwapigia magoti mataifa ya magharibi eti unawakuta wanawashabikia Warussia ambao hawajawahi kuwavulia hata mtumba tu wa soksi au hata brezia.

Sisi waafrika ni watu wa hovyo sana na kuwa kwetu hivi sio kwa ajali ila tunastahili hata Putin huyo wanayemlamba matako amewahi kutuponda sana ngozi nyeusi kwamba ni viumbe vya hovyo kabisa vinavyoiba hela kwao na kwenda kuficha Ulaya.
 
Basi akae kwa kutulia sasa sisi tumsaidieje?
Msaidieni kumwambia mvamizi aondoke arudi kwake, na kama ana kiu ya damu za watu basi akanywe damu za raia wake.
 
Huyu Vita kashinda, katangaza wameyarudisha nyuma majeshi ya Urusi, kamaliza fighter jets na helicopter na vifaru vya mrusi vyote, vilivyoingia Ukraine, sasa sisi anataka mazungumzo nasi juu ya nini?!
Labda kurudisha Ada za chuo za wanafunzi wetu!?
Au anaomba tumpelekee mafundi uashi toka VETA, wakasaidie ujenzi!?

Zelensky understand please, you won the war! Congratulations! That's all we Africans can offer!
 
Back
Top Bottom