Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni aende Moscow kuongea ma Putin vita nchini kwake viishe!Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.
Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.
Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.
=======
Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.
Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".
The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.
The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.
For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.
Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Safi sana, tutamskiliza na tutamsaidia na silaha. Hapa Kenya tuna kampuni ya kutengeza rifles.
Mvamizi atoke kwenye nchi ya watu na hapo hapo vita itaisha.Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
Wamkatalie.Rais wa Senegal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Macky Sall amesema Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelenksy ameomba kuzungumza na Umoja huo. Wito huo unakuja kukiwa na mgawanyiko kuhusu uvamizi wa Urusi.
Nchi nyingi za Afrika zimeonesha kutofungamana na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine ambayo imepelekea Mataifa mbalimbali Barani humo na duniani kwa ujumla kushuhudia athari za kiuchumi za mapigano yanayoendelea.
Hivi karibuni Nchi 58 hazikupiga kura katika Mchakato wa kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na inaripotiwa 24 zilikuwa za Afrika.
=======
Ukrainian President Volodymyr Zelenksy has requested to address the African Union, Senegalese President Macky Sall said on Monday.
Sall, the current AU chairman, tweeted that he and Zelenksy had discussed over the phone the economic impact of the war in Ukraine and "the need to favour dialogue for a negotiated outcome to the conflict".
The Ukrainian president also asked to address the AU, Sall said.
The request comes amid a divided African response to Russia's invasion of Ukraine.
For example, 58 countries abstained from an April 7 vote in the United Nations General Assembly that suspended Russia from the UN Human Rights Council over its invasion.
Africa accounted for 24 of the abstaining countries, which included Senegal. Nine other African countries voted in favour of the resolution, and 9 voted against.
Apambane sasa mpaka ashinde Kama alivyo pambana Nyerere sio kushinda anajiliza.We don't negotiate with invaders. Waonaje nyerere angezungumza na Idi Amin
Asaidiwe mahindi, hahahahaAkubali yaishe. Mpaka namuonea huruma. Mwenye digrii kutazamia mtihani kwa fomu 4.
Tumsaidie nini?
Labda mahindi.
Basi akae kwa kutulia sasa sisi tumsaidieje?Mvamizi atoke kwenye nchi ya watu na hapo hapo vita itaisha.
Kwani Ukraine si nchi huru kuamua kujiunga kwenye upande anaohisi unafaida ndio kosa lake kwa hili urusi amekosea sana kwa vile kuna utimu tuApeleke ujinga wake huko,hakuna anayehitaji kumsikiliza huyo zuzu aliyekubali kuiangamiza nchi yake ili awafurahishe US na NATO.View attachment 2184768
UKRAINE Ni nchi huru kabisa na inaweza kujiamulia Mambo yake kwa Uhuru,Nami Nina swali mkuu.wwani Ukraine si nchi huru kuamua kujiunga kwenye upande anaohisi unafaida ndio kosa lake kwa hili urusi amekosea sana kwa vile kuna utimu tu
Anataka msaada gani Afrika, Aache kutumia nchi yake kama uwanja wa mapambano ya Wakubwa.
Msaidieni kumwambia mvamizi aondoke arudi kwake, na kama ana kiu ya damu za watu basi akanywe damu za raia wake.Basi akae kwa kutulia sasa sisi tumsaidieje?