Rais Zelensky aomba mazungumzo na Umoja wa Afrika (AU)

Huyu naye afanye mazungumzo siliasi na Urusi wamalize vita vinavyo poteza maisha ya raia wake, hata akiutubia dunia nzima akuna kitakacho badirika vitani.
Anakimbia kimbia na kulia lia....
he is so stupid....
watu wa NATO wanampa kiburi kumbe anazidi kuangamiza watu wake
 
Apeleke ujinga wake huko,hakuna anayehitaji kumsikiliza huyo zuzu aliyekubali kuiangamiza nchi yake ili awafurahishe US na NATO.View attachment 2184768
Wewe ulitaka akubali tu kupeleka matako yake URUSI?. Wewe utakuwa kiongozi wa nchi au matope?. Yaani maamuzi yako yalazishwe na rais kutoka nchi jirani.

Huyo rais bonge la Mwanaume halisi. Bora uingie vitani kuipambania familia yako,kuliko jirani akupangie cha kufanya katika familia yako
 
[emoji1][emoji1][emoji1] [emoji116][emoji116] hakika huyu Jamaa Ni shujaa saaana.[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Aje tumsaidie maswala ya uchawi tumroge Vladimir vodika Putin.

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wacha kwanza tumalizane na tozo,umeme na mfumuko wa bei then tutamsikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…