Ma Rais wengi tu wamewahi kusema hivyo. Si muda mrefu Trump naye kasema hivyo. Kuhusu limition ya power yake kama Rais ku control US justice Department hasa FBI. Wapi? Interview kwenye O’Connor show.laana ya lisu kuchoma vifaranga na kusomewa albadiri ndo matokeo yake:Hivi rais anawezaje kusema ana frustration?aibu kwa taifa.iko siku atakimbia ikulu.maana yake nikwamba tunaongozwa na watu wenye frustration
hahahahahahahahahahaha nimeheka kinyama mkuu... naomba nikakojoe nilale sasa, eti atakimbia ikulu watu mnamaneno kwa kwelilaana ya lisu kuchoma vifaranga na kusomewa albadiri ndo matokeo yake:Hivi rais anawezaje kusema ana frustration?aibu kwa taifa.iko siku atakimbia ikulu.maana yake nikwamba tunaongozwa na watu wenye frustration
naona una mrahisisha rahisi(rais) hahahahJamani punguzeni ukali wa maneno basi kwa rahisi wetu kwani maandiko matakatifu yana sema usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.
Aahahah"Colapusheni is a cancer"
laana ya lisu kuchoma vifaranga na kusomewa albadiri ndo matokeo yake:Hivi rais anawezaje kusema ana frustration?aibu kwa taifa.iko siku atakimbia ikulu.maana yake nikwamba tunaongozwa na watu wenye frustration
"Colapusheni is a cancer"
Laana kuu. Huwezi kubomoa makazi ya raia zako halafu ukabaki salama. Lazima tumbo lijae gesi na utaharisha tu hadharaniAmevunja record ya kubomoa makazi ya watu
Ya akina Lincoln hayatuhusu. Sisi tupambane na Hali yetu tu.Rais Rousevelt, Linkolin na Obama wa Marekani, Golverchiev na Tony Blair waliwahi kutumia neno hili, je mbona hakuna kumbukumbu zote toka kwa Wananchi wa nchi zao kuwalaumu kwamba wametiwa aibu? Huenda wewe ni mtu mwenye uelewa mdogo saaana au ni mpumbavu kiasi kwamba hujui kama hujui.
Na nuts kadhaa zimfunguka ziko loose ndani lile bichwa. Could someone please tight them up?Alishindwa kusema tu kuna fuse haziko vizuri,hahaaaa tunalo hill had 2020
Kuna viongozi wengine wana mafile MirembeLakini si alisema pale pandarini kuwa anausongo wa mawazo?
Cheza na albadir wewe
Swissme
Hahaha mtaje yule jamaa mwenye msongo wa mawazoKuna viongozi wengine wana mafile Mirembe
Hakumaanisha hii, alisema frustration binafsi sio za kikaziNimeiingia google kutafuta maana ya neno hili :
frustration
noun
1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something.
2. the prevention of the progress, success, or fulfilment of something.
Naona maana ya kwanza ina uzito sana hapa.
Tafadhali tumsaidie Mheshimiwa Raisi.
Sio kweli, dhamiri inamsuta sana, unajua unapovunja haki za binadamu na kuvuna sheria na katiba huwezi kubaki salama. Sidhani kama ana wazo la wanyonge kwenye akili yake.Ana Frustrations jinsi akiwaza Wanyonge wanavyotaabika na jinsi ya kuondoa kero hizo
Na ukimpenda mtu mabaya yake unajifanya hauyaoni,its a two way traffic.Vipo vingi sana ila kawaida ukimchukia mtu huwezi kuona zuri lake hata moja
Nchi ilikuwa pabaya sana
Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili :
frustration
noun
1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something.
2. the prevention of the progress, success, or fulfilment of something.
Naona maana ya kwanza ina uzito sana hapa.
Tafadhali tumsaidie Mheshimiwa Raisi.