Raisi Magufuli asema ana "Frustrations"

Walitumia wapi weka quotation hapa
 
Nilisahau. Kumbe Ulaya walizaliwa na utajiri!! One day they woke up and voilà the riches happened. That is crap!!!!!!!
 
Sasa imagine huyu wetu ana control kila kitu na bado ana frastresheni! I can somehow understand Trump's frustrations. This is the case of the underdogs in politics wanapoangukiwa na zali. Frustration is inevitable!!
 
Weka hapa ni wapi na lini waliadmit kuwa wana frustration!
Unaguess tu na kuweka upupu hapa!
 
Ameshaona kwamba sio wote wanaompigia makofi wanamshangilia,wengi wao wanamng'ong'a wanapalilia matumbo yao tu.

Tutasikia mengi sana huko tuendako
 


 
Hana leadership skills atahangaika miaka yote hadi anamaliza muda wake na atapiga risasi watu wengi
 
Hutu ana matatizo ya kisaikolojia tangu zamani na hakuna wa kumsaidia zaidi ya mental health professiinals kwa sasa.

His amygdala reaponds exceedingly to fear invoking stimuli even below the conscious level.
 
Mheshimiwa raisi lazima apatwe na frustration sababu majitu anayoyapambania mengi yao ni maropokaji na yana uelewa wa chini sana wa mambo kwa uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…