Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Walitumia wapi weka quotation hapaRais Rousevelt, Linkolin na Obama wa Marekani, Golverchiev na Tony Blair waliwahi kutumia neno hili, je mbona hakuna kumbukumbu zote toka kwa Wananchi wa nchi zao kuwalaumu kwamba wametiwa aibu? Huenda wewe ni mtu mwenye uelewa mdogo saaana au ni mpumbavu kiasi kwamba hujui kama hujui.
Hivi rinaongelea bavicha hapa??bavicha hawataki kufanya kazi halafu wanataka mambo mazuri at the same time
Nilisahau. Kumbe Ulaya walizaliwa na utajiri!! One day they woke up and voilà the riches happened. That is crap!!!!!!!Huwezi kuongoza taifa masikini hakuna maji, hakuna barabara, madawa, elimu, nk halafu ukakosa frustrations. Wenzake kina Trump, Merkel et al mambo yao safi. Wao wana budget surplus wakati huku kwetu unaongoza nchi yenye budget deficit! Kuongoza nchi za ulaya ni rahisi sana kuliko kuongoza nchi maskini za kiafrika!
Sasa imagine huyu wetu ana control kila kitu na bado ana frastresheni! I can somehow understand Trump's frustrations. This is the case of the underdogs in politics wanapoangukiwa na zali. Frustration is inevitable!!Ma Rais wengi tu wamewahi kusema hivyo. Si muda mrefu Trump naye kasema hivyo. Kuhusu limition ya power yake kama Rais ku control US justice Department hasa FBI. Wapi? Interview kwenye O’Connor show.
Kwahiyo, very politely nakuomba, Acha kuanika ujinga wako uliojaliwa hapa jukwaani.
Mwee!!!Kuna viongozi wengine wana mafile Mirembe
Ukiona hivyo ujue sindano imeingia. Kuishiwa kwa hoja hakujawahi muacha mtu salama.Hivi rinaongelea bavicha hapa??
Weka hapa ni wapi na lini waliadmit kuwa wana frustration!Rais Rousevelt, Linkolin na Obama wa Marekani, Golverchiev na Tony Blair waliwahi kutumia neno hili, je mbona hakuna kumbukumbu zote toka kwa Wananchi wa nchi zao kuwalaumu kwamba wametiwa aibu? Huenda wewe ni mtu mwenye uelewa mdogo saaana au ni mpumbavu kiasi kwamba hujui kama hujui.
Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili :
frustration
noun
1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something.
2. the prevention of the progress, success, or fulfilment of something.
Naona maana ya kwanza ina uzito sana hapa.
Tafadhali tumsaidie Mheshimiwa Raisi.
Yu shuldu noti hevu yumani fesi to mafisadiYua flomu yulopu? Du yu lavu kalapusheni? Ayu kalapti
Du yu lavu colapusheni?!Aahahah
Syo Ku tight tu ni Ku over haul yote,Na nuts kadhaa zimfunguka ziko loose ndani lile bichwa. Could someone please tight them up?
Msongo. Sio usongoKwani hakusema?
$wissme
Hutu ana matatizo ya kisaikolojia tangu zamani na hakuna wa kumsaidia zaidi ya mental health professiinals kwa sasa.Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili :
frustration
noun
1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something.
2. the prevention of the progress, success, or fulfilment of something.
Naona maana ya kwanza ina uzito sana hapa.
Tafadhali tumsaidie Mheshimiwa Raisi.