Raisi samia: Nadhani hatuchukui hatua. Ni nani wanaotakiwa kuchukua hatua?

Raisi samia: Nadhani hatuchukui hatua. Ni nani wanaotakiwa kuchukua hatua?

Wezi hawamuogopi kwa sababu wameshamfahamu, sasa wanajua kucheza nae, hapo kuna mtandao mkubwa wa wezi wa mali za umma wenye connection kwake ndio maana hajui la kufanya anaishia kusema "nadhani ....", hapo ni kama anawaamsha wezi wapunguze kidogo kutuibia!.

Ajabu sana pale anapotutajia makosa mengi toka kwenye ripoti ya CAG, lakini hakuna popote anapoagiza wezi wachukuliwe hatua, kama huyo jamaa aliyekopa benki tano akatoroka nchini hata jina hajamtaja.

Sijui kwanini amemficha wakati katuibia pesa zetu, au labda nae hamfahamu!, lakini vipi na wahusika waliotoa hiyo mikopo? hawakamatwi kuhojiwa chochote?

Jibu la hayo maswali hapo juu ni moja tu; connection.
Shida ni kuwa nchi kwa sasa ni kama haina Rais. Imerudi tena ile awamu ya kuzurula nje ya nchi bila kujali kinachoendelea ndani.
 
Tangu mlipobadili fedha za Umma na kuziita fedha za Rais mkapoteza kabisa dhana ya kiwajibishana. Mwenye fedha akiamua kuwajibisha Sawa, akiamua kukaa kimya Sawa fedha ni zake.
 
Naona ni wakati sasa mama awe strictly,kuna watu akicheka nao watamuharibia...
 
Ati Sheria! Muungwana sawa, lakini hawa mbwa wataingia hadi madhabahun. Magufulicate them

we need to apply some sort of Magufulication
Kwani yeye Magufuli ndo aliwafanya nini
Afadhali ht useme JK angalau alithubutu kuwafunga mawaziri wawili
 
Wezi hawamuogopi kwa sababu wameshamfahamu, sasa wanajua kucheza nae, hapo kuna mtandao mkubwa wa wezi wa mali za umma wenye connection kwake ndio maana hajui la kufanya anaishia kusema "nadhani ....", hapo ni kama anawaamsha wezi wapunguze kidogo kutuibia!.

Ajabu sana pale anapotutajia makosa mengi toka kwenye ripoti ya CAG, lakini hakuna popote anapoagiza wezi wachukuliwe hatua, kama huyo jamaa aliyekopa benki tano akatoroka nchini lakini hata jina hajamtaja...

Sijui kwanini amemficha wakati katuibia pesa zetu, au labda nae hamfahamu!, lakini vipi na wahusika waliotoa hiyo mikopo? hawakamatwi kuhojiwa chochote?

Jibu la hayo maswali hapo juu ni moja tu; connection.
Ngosha alianzisha na mahakama ya mafisadi, tuambie nani aliwahi kufungwa...
 
Naona ni wakati sasa mama awe strictly,kuna watu akicheka nao watamuharibia...
Cha ajabu ni kwamba wanakomaa kuwachukulia hatua watendaji wa ngazi za vijiji kwa kuongeza m.1, 2 wanawaacha mafisadi wa viwango vya juu
 
Mama yuko makini sana, rule of law, wahusika wafanye kazi yao
 
Mama yuko makini sana, rule of law, wahusika wafanye kazi yao
Lakini, hapo kwenye high estimate, si ni yeye ndiye alisema vitu vitapanda bei? Au ilikuwa ni kwenye mchele, unga na bidhaa ndogondogo?
 
Back
Top Bottom