EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 150
- 84
Sasa hivi katika mitandao ya kijamii
Kuna kundi ambalo linaweka mijadala mingi ya kumlinganisha Raisi huyu utendaji wa Marehemu Magufuli
Hili kundi linaongozwa na Veronica France
Ni kama kundi hili lipo kinyume,halijaridhika kuona Samia Suluhu akiwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kundi hili haliungi mkono jitihada yoyote iliyo njema ya Raisi Samia Suluhu
Mbaya zaidi kundi hili linatumia lugha za kashfa na uchochezi
Mimi nawaomba ninyi Usalama wa Taifa hili kuwa,
Tumieni jitihada na uwezo mlio nao,angalau kupunguza au kutokomeza mtandao huu
Ili Raisi Samia afanikishe kile anacho kipanga kwa taifa
Mijadala ya kuvuruga inaweza ikatuletea machafuko hata vita vya sisi kwa sisi
Hawa wachochezi wasiachwe,maana Marehemu hayupo tena,pia Raisi Samia ame kaimu kwa mujibu wa katiba
Kundi hili nina amini lina nia mbaya
Kama kundi hili lingekuwa na nia njema ,malalamiko yao wangeyawasilisha kufuata kanuni na taratibu mbalimbali za kisheria
Tafadhali enyi Usalama wa Taifa,tusaidien hili kundi la Veronica France na wapambe wake lidhibitiwe.
Ni muhimu Raisi Samia akawa huru kuifanya kazi yake bila kubugudhiwa
Raisi Samia aachwe aifanye kazi yake
Kelele za mambo yaliyopita hazita tusaidia
Kuna kundi ambalo linaweka mijadala mingi ya kumlinganisha Raisi huyu utendaji wa Marehemu Magufuli
Hili kundi linaongozwa na Veronica France
Ni kama kundi hili lipo kinyume,halijaridhika kuona Samia Suluhu akiwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kundi hili haliungi mkono jitihada yoyote iliyo njema ya Raisi Samia Suluhu
Mbaya zaidi kundi hili linatumia lugha za kashfa na uchochezi
Mimi nawaomba ninyi Usalama wa Taifa hili kuwa,
Tumieni jitihada na uwezo mlio nao,angalau kupunguza au kutokomeza mtandao huu
Ili Raisi Samia afanikishe kile anacho kipanga kwa taifa
Mijadala ya kuvuruga inaweza ikatuletea machafuko hata vita vya sisi kwa sisi
Hawa wachochezi wasiachwe,maana Marehemu hayupo tena,pia Raisi Samia ame kaimu kwa mujibu wa katiba
Kundi hili nina amini lina nia mbaya
Kama kundi hili lingekuwa na nia njema ,malalamiko yao wangeyawasilisha kufuata kanuni na taratibu mbalimbali za kisheria
Tafadhali enyi Usalama wa Taifa,tusaidien hili kundi la Veronica France na wapambe wake lidhibitiwe.
Ni muhimu Raisi Samia akawa huru kuifanya kazi yake bila kubugudhiwa
Raisi Samia aachwe aifanye kazi yake
Kelele za mambo yaliyopita hazita tusaidia