F FOCAL JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 3,513 Reaction score 5,035 Jun 9, 2024 #61 zonda said: Mkuu wa kaya hasafiri!?..baba yako hakuwahi safiri walau mwezi mmoja?..ni mkulima?..Mimi mzee wangu akisafiri mpaka miezi mitatu na aliporudi tulipaa kihadhi ya maisha Click to expand... Naona mifano sasa haiendani tena na mada, acha mkuu wa kaya asafiri hata miezi mitatu kama mzee wako, tunaweza kupaa kihadhi ya maisha.
zonda said: Mkuu wa kaya hasafiri!?..baba yako hakuwahi safiri walau mwezi mmoja?..ni mkulima?..Mimi mzee wangu akisafiri mpaka miezi mitatu na aliporudi tulipaa kihadhi ya maisha Click to expand... Naona mifano sasa haiendani tena na mada, acha mkuu wa kaya asafiri hata miezi mitatu kama mzee wako, tunaweza kupaa kihadhi ya maisha.
A Afroman JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 1,443 Reaction score 1,927 Jun 9, 2024 #62 Am BLACK MOVEMENT said: Hakuna amani bali kuna Raia wajinga tupu na Mazezet Umesema ukweli. Tanzania imejaa Mazezeta TU! Click to expand...
Am BLACK MOVEMENT said: Hakuna amani bali kuna Raia wajinga tupu na Mazezet Umesema ukweli. Tanzania imejaa Mazezeta TU! Click to expand...
kimsboy JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 9,846 Reaction score 20,319 Jun 9, 2024 #63 Tuna bahati mbaya sana kuongozwa na yezibieli
mahindi hayaoti mjini JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 2,120 Reaction score 2,709 Jun 10, 2024 #64 Wagalatia mtahangaika sana Mama ni mpaka 23000000000 hukoooo
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,283 Reaction score 9,925 Jun 10, 2024 #65 Ni kwasabb hata rais tuliye naye ni wa kutoka nchi nyingine.