MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #41
Kwa Uchawi ambao nimeuona tokea Juzi, leo na nitakaouona hadi Ijumaa Usiku Raja Casablanca FC anafungwa Jumamosi na atajuta kuja Kucheza na Simba SC kwa Mkapa.Kwa Simba hii,ni ngumu kuifunga raja,hata hao yanga nao hakupo vizuri Yani hizi timu zetu 2 hizi labda droo
Toa neno mbumbumbu mkuu naelew vzr alichoandika na baada ya hapo nachanganua vzr habari so kiujumla sikurupuki mkuu ila wew ume comment ukiw na chuki na wivu ...nakuomb achana na hvyo vituMtu mjinga ataendelea kuwa mjinga tu, Uyo mpuuzi anawalisha matango pori na nyie kwakuwa ni zero brain mnakubaliana tu anachopost hapa bila ata kuishushughulisha akili, Muda wa kucheza mechi saa 1 umepangwa na caf wenyewe kutokana na mambo ya haki za kibiashara, hapo Raja anahusikaje kupanga muda wa kucheza? Sasa uyu jamaa kwakuwa anajua kuna viumbe hapa ndani uwa vinakurupuka bila ata kujishughulisha kupata ukweli ndio hivyo anawaokota mbumbumbu dizaini yenu, Nyie kama mganga wenu alitegemea kuroga saa 10 basi abadilishe rada akaroge saa moja jioni na sio kutuletea hadithi za abunwasi hapa
Sasa kama umeelewa kwanini unajitoa ufahamu?Toa neno mbumbumbu mkuu naelew vzr alichoandika na baada ya hapo nachanganua vzr habari so kiujumla sikurupuki mkuu ila wew ume comment ukiw na chuki na wivu ...nakuomb achana na hvyo vitu
Cha msingi punguza chuki na wivuSasa kama umeelewa kwanini unajitoa ufahamu?
Azam alishinda hiyo saa 1 apo mkapaSiku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.
Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.
Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.
Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Believe of science over fictionKwa Uchawi ambao nimeuona tokea Juzi, leo na nitakaouona hadi Ijumaa Usiku Raja Casablanca FC anafungwa Jumamosi na atajuta kuja Kucheza na Simba SC kwa Mkapa.
Wayakuelewa saa 3Siku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.
Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.
Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.
Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Vipi wewe umemuelewa?Wayakuelewa saa 3
Njoo uedit comment Yako hukuJambo la ajabu ni kwamba hapa wadau wanamtusi na kumkejeli @MINOCYCINE, ila baada ya Jumamosi watakuja hapa tena kumpongeza kwa kuona mbali kabla ya mechi, na watamuona jamaa ni talented, na always imekuwa hivyo.
Au mmesahau ni akina nani waliofanya huyu mdau apate kura nyingi za member bora wa jukwaa la michezo na burudani la JF? Si ni sisi hawa hawa tunaoanza kwanza kumbeza anaweka uzi fulani, na uzi huo unapokuja na matokeo aliyoyatabiri mdau tunageuka tena kumwimbia pambio?