Mtu mjinga ataendelea kuwa mjinga tu, Uyo mpuuzi anawalisha matango pori na nyie kwakuwa ni zero brain mnakubaliana tu anachopost hapa bila ata kuishushughulisha akili, Muda wa kucheza mechi saa 1 umepangwa na caf wenyewe kutokana na mambo ya haki za kibiashara, hapo Raja anahusikaje kupanga muda wa kucheza? Sasa uyu jamaa kwakuwa anajua kuna viumbe hapa ndani uwa vinakurupuka bila ata kujishughulisha kupata ukweli ndio hivyo anawaokota mbumbumbu dizaini yenu, Nyie kama mganga wenu alitegemea kuroga saa 10 basi abadilishe rada akaroge saa moja jioni na sio kutuletea hadithi za abunwasi hapa