Raja Casablanca FC wametegwa Makusudi na Simba SC na wameingia Mtegoni hawatoamini Macho yao

Raja Casablanca FC wametegwa Makusudi na Simba SC na wameingia Mtegoni hawatoamini Macho yao

Kwa Simba hii,ni ngumu kuifunga raja,hata hao yanga nao hakupo vizuri Yani hizi timu zetu 2 hizi labda droo
Kwa Uchawi ambao nimeuona tokea Juzi, leo na nitakaouona hadi Ijumaa Usiku Raja Casablanca FC anafungwa Jumamosi na atajuta kuja Kucheza na Simba SC kwa Mkapa.
 
Mtu mjinga ataendelea kuwa mjinga tu, Uyo mpuuzi anawalisha matango pori na nyie kwakuwa ni zero brain mnakubaliana tu anachopost hapa bila ata kuishushughulisha akili, Muda wa kucheza mechi saa 1 umepangwa na caf wenyewe kutokana na mambo ya haki za kibiashara, hapo Raja anahusikaje kupanga muda wa kucheza? Sasa uyu jamaa kwakuwa anajua kuna viumbe hapa ndani uwa vinakurupuka bila ata kujishughulisha kupata ukweli ndio hivyo anawaokota mbumbumbu dizaini yenu, Nyie kama mganga wenu alitegemea kuroga saa 10 basi abadilishe rada akaroge saa moja jioni na sio kutuletea hadithi za abunwasi hapa
Toa neno mbumbumbu mkuu naelew vzr alichoandika na baada ya hapo nachanganua vzr habari so kiujumla sikurupuki mkuu ila wew ume comment ukiw na chuki na wivu ...nakuomb achana na hvyo vitu
 
Toa neno mbumbumbu mkuu naelew vzr alichoandika na baada ya hapo nachanganua vzr habari so kiujumla sikurupuki mkuu ila wew ume comment ukiw na chuki na wivu ...nakuomb achana na hvyo vitu
Sasa kama umeelewa kwanini unajitoa ufahamu?
 
Simba nawashauri ule moto mliouwasha uwanjani kule South Africa, safari hii msirudie tena kututia aibu mbele ya wageni wa CAF mtasababisha muondolewe - super cup?.
 
Jambo la ajabu ni kwamba hapa wadau wanamtusi na kumkejeli @MINOCYCINE, ila baada ya Jumamosi watakuja hapa tena kumpongeza kwa kuona mbali kabla ya mechi, na watamuona jamaa ni talented, na always imekuwa hivyo.

Au mmesahau ni akina nani waliofanya huyu mdau apate kura nyingi za member bora wa jukwaa la michezo na burudani la JF? Si ni sisi hawa hawa tunaoanza kwanza kumbeza anaweka uzi fulani, na uzi huo unapokuja na matokeo aliyoyatabiri mdau tunageuka tena kumwimbia pambio?
 
Siku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.

Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.

Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.

Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Azam alishinda hiyo saa 1 apo mkapa

Mechi ikiisha mtaanza Robertinho hafai
 
Kwa Uchawi ambao nimeuona tokea Juzi, leo na nitakaouona hadi Ijumaa Usiku Raja Casablanca FC anafungwa Jumamosi na atajuta kuja Kucheza na Simba SC kwa Mkapa.
Believe of science over fiction
 
Siku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.

Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.

Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.

Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Wayakuelewa saa 3
 
Jambo la ajabu ni kwamba hapa wadau wanamtusi na kumkejeli @MINOCYCINE, ila baada ya Jumamosi watakuja hapa tena kumpongeza kwa kuona mbali kabla ya mechi, na watamuona jamaa ni talented, na always imekuwa hivyo.

Au mmesahau ni akina nani waliofanya huyu mdau apate kura nyingi za member bora wa jukwaa la michezo na burudani la JF? Si ni sisi hawa hawa tunaoanza kwanza kumbeza anaweka uzi fulani, na uzi huo unapokuja na matokeo aliyoyatabiri mdau tunageuka tena kumwimbia pambio?
Njoo uedit comment Yako huku
 
Back
Top Bottom