Raja Casablanca itatembeza sana vichapo kwenye hili kundi la wakina Sawadogo kama timu zenyewe ndio hizi

Raja Casablanca itatembeza sana vichapo kwenye hili kundi la wakina Sawadogo kama timu zenyewe ndio hizi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Awa Horoya kwakweli ni famba sana aina yao ya uchezaji sijaielewa kabisa, Ni timu ambayo kiwango chake kiko chini sana labda kama wanayo aina nyingine ya uchezaji ambayo awakuitumia leo, lakini kama ndio uchezaji wao uko hivi basi watakuja kukutana na 5 nyingine kutoka kwa Raja casablanca

Wameshinda mechi ya leo kutokana na kukutana na mbovu mwenzake, Simba wanayo shida kwenye eneo lao la ulinzi wakikutana na timu inayowapelekea moto wanapoteana maana wanaacha mianya mingi ya kuwatungua, ata wakitangulia kufunga lazima wapinzani makini warudishe goli kwa mianya wanayoacha, Yote kwa yote kupigwa kwa simba leo ni motivation kwa timu ya wananchi kesho kufanya kweli
 
Mpira hauko hivyo, utalaumu kila kitu ila mpira wa Africa ulivyo usishangae huyo Raja cassablanca akapigwa na Vipers, Horoya na Simba sc akiwa ugenini.

Afrika mwenyeji huwa na asilimia kubwa ya kushinda.
Mechi za leo CAFCL;
1. MAMELODI SUNDOWNS 1-0 AL HILAL
2. ESPERANCE DE TUNIS 1 -0 AL MERRIK

3. HOROYA 1-0 SIMBA SC

4. PETRO ATLETICO DE LUANDA 0 - 0 JS KABYLE

Mimi kama mwanasimba siilaumu timu yangu imecheza kwa kadri.

Mkiona matokeo ndiyo mnatiririsha nyuzi humu.

Kwa soka la Afrika usipotumia vizuri uwanja wa nyumbani asilimia za ushindi ugenini ni ndogo.
 
Mimi nikiwa mkweli nalaumiwa
Shida ni Quality players.

USAJILI WA SIMBA NI MBOVU MNO

Banda.
Okwa.
Dejan.
Kanute.
Sawadogo.
Ottara.
Onyango.

Wanashindwa kusajili akina..
Azizi, Bambala, semanga sonze, Adebayor, Manzoki.

BOKO NI .......
Huna akili wewe, unadhani mpira ni matamanio yako tu?

Mara ngapi Simba amekuwa akijipigia Al Ahly licha ya kuwa na high quality players kuliko timu yoyote Afrika?

Kufungwa goli moja ugenini unalaumu hakuna timu? What a f00l!
 
Timu imecheza vzri tu ila , akoss madogo yameshinfwa kuwapa point Moja watani lkni wakija wale kwa mkapa kipigo Cha mbwa Koko watapigwa kifupi Simba inatakiwa game na raja apate 3 akikosa basi hata Moja Inamtosha lkni wakija vipers wanakufa hpa na hta kwao sare watapata
 
Makolo aka ZUWENA FC Hawataki kukubali........

Yule beleke wa kwenye Ligue ni tofauti kabisa na WA CAF championship
Baleke unaona hafai kwa kushindwa kufanya nini leo?

Uliona kuna clear chance yoyete aliyotengenezewa akashindwa kuitumia?

Kesho tutamuona Musonda mliowapiku Tp mazembe.
 
Unaumwa ugonjwa wa kukurupuka
Huu ni ukurupukaji..angalia historia ya simba kabla hujakurupuka..
Historia inacheza mpira? Kama mmeshindwa kupata ata point moja mbele ya hii horoya mnategemea mtaipata kwa vipers au Raja? Horoya awatochomoka mbele ya vipers kwa mpira wao huu niliouona na kwa aina ya timu mliyonayo vipers amtowafanya chochote kama utaki subilia utaona
 
Timu imecheza vzri tu ila , akoss madogo yameshinfwa kuwapa point Moja watani lkni wakija wale kwa mkapa kipigo Cha mbwa Koko watapigwa kifupi Simba inatakiwa game na raja apate 3 akikosa basi hata Moja Inamtosha lkni wakija vipers wanakufa hpa na hta kwao sare watapata
Vipers mnawachukulia poa kwakuwa wamekandwa 5 eti? Sasa nawaambieni ni bora mkutane na horoya mara mia na sio vipers, kama utaki subilia jibu utalipata
 
Historia inacheza mpira? Kama mmeshindwa kupata ata point moja mbele ya hii horoya mnategemea mtaipata kwa vipers au Raja? Horoya awatochomoka mbele ya vipers kwa mpira wao huu niliouona na kwa aina ya timu mliyonayo vipers amtowafanya chochote kama utaki subilia utaona
Sawa mzee tambi tambi.
 
Historia inacheza mpira? Kama mmeshindwa kupata ata point moja mbele ya hii horoya mnategemea mtaipata kwa vipers au Raja? Horoya awatochomoka mbele ya vipers kwa mpira wao huu niliouona na kwa aina ya timu mliyonayo vipers amtowafanya chochote kama utaki subilia utaona
Tutaipata ww sio final say
Hebu jikite na litimu lako li bovu hyo kesho mtalia kilio cha mbwa koko
😆 😆 😆 😆
 
Tutaipata ww sio final say
Hebu jikite na litimu lako li bovu hyo kesho mtalia kilio cha mbwa koko
😆 😆 😆 😆
Ndio msubilie wale ni waarabu sio horoya wale, tunaenda kucheza na timu bora na boli litatembea
 
Nikiwa mkweli, mashabiki wa yanga ni Aina fulani hivi ya walemavu ( sifa yao kuu ni kupenda attention).
Serikali iliangalie hili.
Rekebisheni timu yenu kwa sasa ni uchochoro, mkiambiwa ukweli mnakuja juu mnapenda mapambio ya sifa tu, endeleeni kushupaza shingo
 
Awa Horoya kwakweli ni famba sana aina yao ya uchezaji sijaielewa kabisa, Ni timu ambayo kiwango chake kiko chini sana labda kama wanayo aina nyingine ya uchezaji ambayo awakuitumia leo, lakini kama ndio uchezaji wao uko hivi basi watakuja kukutana na 5 nyingine kutoka kwa Raja casablanca, Wameshinda mechi ya leo kutokana na kukutana na mbovu mwenzake, Simba wanayo shida kwenye eneo lao la ulinzi wakikutana na timu inayowapelekea moto wanapoteana maana wanaacha mianya mingi ya kuwatungua, ata wakitangulia kufunga lazima wapinzani makini warudishe goli kwa mianya wanayoacha, Yote kwa yote kupigwa kwa simba leo ni motivation kwa timu ya wananchi kesho kufanya kweli
Kwa hiyo mkuu ulitaka simba apigwe nyingi zaidi.Daaah hii nchi ngumu sana me ni shabiki wa Yanga ila simba kufungwa magoli mengi ingeniuma kwa kweli.
 
Mimi nikiwa mkweli nalaumiwa
Shida ni Quality players.

USAJILI WA SIMBA NI MBOVU MNO

Banda.
Okwa.
Dejan.
Kanute.
Sawadogo.
Ottara.
Onyango.

Wanashindwa kusajili akina..
Azizi, Bambala, semanga sonze, Adebayor, Manzoki.

BOKO NI .......
Ni ukweli isee usajili utadhan tunawachukua bire hao wachezaji..wakawaida mno.
 
Back
Top Bottom