Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Mola kama ulivyo wakumbuka Burundi pitia na Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba haibagui lakini si kila mwenye haki kikatiba ana sifa ya kuwa kiongozi!Kwanini mkuu? Si ana haki kikatiba?
Kwani huyo pia atagombea kupitia chadema?Hao ndio tunawahitaji tuwajaze bungeni na wakina Musukuma, Kibajaji etc
Hao tukipeleka muswada bungeni wanagonga meza tu kuunga mkono hoja maana hata kilichoandikwa ndani hawakielewi.
Bunge la kisayansi 2020-2025 linawezekana, tuwaunge mkono wagombea wa dizaini hii kwa wingi.
Hii ni sawa na Herode alivyopendezwa na kucheza kwa biniyee..hatimaye bintiye akaomba kichwa cha Yohana Mbatizaji.Tumefikia hatua mbaya kama taifa
Itategemea na 'Yesu'atakavyoona inampendeza.Kwani huyo pia atagombea kupitia chadema?
Sasa ulitaka wamtukuze shetani?Amesababisha wasanii wote wametoa nyimbo za kumtukuza Yesu ili na wao wapewe majimbo yao.
Dogo janja
Kala jerimiah
Nandy
N.K Wote imewabidi watoe nyimbo ya kumtukuza Yesu
Yesu ndio anachagua wagombea hapo chadema?Itategemea na 'Yesu'atakavyoona inampendeza.
Ndio 'Yesu' alifanya hivyo, tunasubiri miujiza yake tenaYesu ndio anachagua wagombea hapo chadema?
Nchi za Kiafrika sheria mnatungiwa na Form 4 leaver inakuja kutafsiriwa na Mahakama huku mhudumu wa mortuary inabidi awe angalau form four plus certificate ya uhudumu wa mortuary.
Sometimes watunga sheria wengine ni la saba tu
Ok.. Sikujua hiloNdio 'Yesu' alifanya hivyo,tunasubiri miujiza yake tena
Ndio iko hivyo,na tuna kamsemo ketu huku 'kama vile ulivyoamua kunipa cheo kile na sasa umekitwaa jina lako lihidimiwe.'Ok.. Sikujua hilo
Hivi wale nilijua ni graduates. Ok ila mimi sikuwa katika uchama. Ni aibu mtu hata degree huna unagombea ubunge kwakuwa tu wewe ni maarufu.Kweli maana hata sugu ,prof jay nilishangaa kupata ubunge kwa elimu waliyonayo
Mnafanya vizuri kurudisha shukrani, hongereni sana kwa kumtegemea Yesu Kristo! Nlifikiri nyie ni mapagani tu.Ndio iko hivyo,na tuna kamsemo ketu huku 'kama vile ulivyoamua kunipa cheo kile na sasa umekitwaa jina lako lihidimiwe.'
Amen, yaani 'Yesu' wa huku kwetu kila ukimtaja lazima utaje majina yake yote manne huku ukitanguliza neno jemedari.Mnafanya vizuri kurudisha shukrani, hongereni sana kwa kumtegemea Yesu Kristo! Nlifikiri nyie ni mapagani tu.