Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Huna linguine ni hilo hilo la uchi??? pathetic..kamuulize mamako kama alishawahi ku shave?!
Mama angu hajawahi kupiga picha za uchi kama wewe.

Next time kabla ya kupiga picha kama zile jitahidi unyoe vuzerii kwa ustaadi kabisaa.
 
Hao ndio tunawahitaji tuwajaze bungeni na wakina Musukuma, Kibajaji etc

Hao tukipeleka muswada bungeni wanagonga meza tu kuunga mkono hoja maana hata kilichoandikwa ndani hawakielewi.

Bunge la kisayansi 2020-2025 linawezekana, tuwaunge mkono wagombea wa dizaini hii kwa wingi.
Umeandika ukweli mtupu, ukizingatia kuwa Sugu na Profesa Jay wamepita njia hii hii anayopita Harmonise kwa sasa.
 
Umeandika ukweli mtupu, ukizingatia kuwa Sugu na Profesa Jay wamepita njia hii hii anayopita Harmonise kwa sasa.
Naam uko sawa kwa 100%,tunahitaji kujaza watu wa dizaini hio ili bunge la kisayansi liweze kwenda na kasi ya awamu ya 6.
 
Kupitia kipindi cha TBC Jaramba jana Harmonize ametangaza rasmi kugombea ubunge Tandahimba ,wakati akihojiwa alinukuliwa akisema Magufuli mwenyewe alipendekeza nigombee kwa hiyo hana wasiwasi.

Sijui Cecil Mwambe atatangaza na yeye,kwa mbali naona Cecil Mwambe anarudi uraiani labda apate nafasi za uteuzi maana kajipendekeza sana
 
Naam uko sawa kwa 100%,tunahitaji kujaza watu wa dizaini hio ili bunge la kisayansi liweze kwenda na kasi ya awamu ya 6.
Hao wa dizaini nyingine wenye ma-degree makubwa makubwa wanaishia kutoa maoni Twitter na Facebook kazi ya kukosoa wanaiweza sana.

Bora waende bungeni kina Musukuma wenye elimu za darasa la saba lakini ni watu wenye upendo mkubwa na ushirikiano kwa wananchi wa kawaida.
 
Amen,kwa hakika tunafanya hivyo kwa ustadi mkubwa na hata wiki iliyopita kuna mwanafunzi wa 'Yesu'kutoka kule mwibala aliendelea kutangaza kazi nzuri za kutukuka zinazofanywa na 'masiha' wetu mpendwa.

Abarikiwe sana.
Nzuri sana hiyo kwake kila goti litapigwa!

Sasa waase sana ambao bado hawajamkiri wafamye hivyo ili motp wa jehanamu usiwapate siku ya kiama.
 
Hao wa dizaini nyingine wenye ma-degree makubwa makubwa wanaishia kutoa maoni Twitter na Facebook kazi ya kukosoa wanaiweza sana.

Bora waende bungeni kina Musukuma wenye elimu za darasa la saba lakini ni watu wenye upendo mkubwa na ushirikiano kwa wananchi wa kawaida.
Ni kweli musukuma ana upendo sana na wananchi wanyonge wa taifa hili na hata waliofanya nae biashara pale sheikh abeid wamethibitisha hilo na Hata Toyota tanzania(Dodoma) walimuandikia barua spika last week khs Musukuma na upendo wake wq dhati kwa wanyonge.

So naunga hoja mkono.
 
Hivi jimbo letu la hai hatuna mtu wa ushawishi? Maana mbowe amekuwa mzee wa totoz na faru john
 
Amen,tuko tunaendelea kuwasisitiza wfanye hivyi maana soon kutakua na kikao cha baraza la makuhani na tutaona nani aliweza kusifu vizuri na kuabudu.
Nzuri sana hiyo kwake kila goti litapigwa!

Sasa waase sana ambao bado hawajamkiri wafamye hivyo ili motp wa jehanamu usiwapate siku ya kiama.
 
Amen,tuko tunaendelea kuwasisitiza wfanye hivyi maana soon kutakua na kikao cha baraza la makuhani na tutaona nani aliweza kusifu vizuri na kuabudu.
Siyo suala la kusifu na kuabudu vizuri, bali ni suala la usafi wa moyo.
Sasa kama unafikiri utaenda mbinguni kwa kusifu na kuabudu vizuri nakushauri tafakari vizuri njia zako.
 
Back
Top Bottom