Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mnafanya vizuri! Yesu ni muweza wa yote! Mmefanya vizuri san kutoa maisha yenu kwa Yesu. Vinginevyo mkifa mngekutana n moto wa milele! Sasa kwa hatua hiyo tegeemeni uzima wa Milele. AmenAmen,yaani 'Yesu' wa huku kwetu kila ukimtaja lazima utaje majina yake yote manne huku ukitanguliza neno jemedari.
Ukifanya hivyo mambo tawireeee.