Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Siyo suala la kusifu na kuabudu vizuri, bali ni suala la usafi wa moyo.
Sasa kama unafikiri utaenda mbinguni kwa kusifu na kuabudu vizuri nakushauri tafakari vizuri njia zako.
Naam na uzuri 'Yesu' wetu hua akimuangalia mtu usoni anamwambia mtu huyu hata moyoni mwake anaonekana ametubu kabisaa.
 
Naam na uzuri 'Yesu' wetu hua akimuangalia mtu usoni anamwambia mtu huyu hata moyoni mwake anaonekana ametubu kabisaa.
Yesu huona hadi ya sirini na gizani kiufupi hiwezi kumficha kitu!
Ndio pale tunaposema usafi wa Moyo ni muhimu zaidi kuliko matendo.
 
Siungi mkono.

NB: mimi ni mwana chama wa CCM.
 
Agombee tu maana iko wazi Bunge lijalo litajaa Wasanii wengi, Wapiga vigeregere wengi na Waigizaji wa Bingi Muvi.

Hakuna jipya tutakalo litarajia kutokana na Wabunge wengi makini na wajenga hoja kutoka vyama vya upinzani, kuchezewa rafu na hivyo kushindwa uchaguzi kwa zengwe! Na uzuri dalili zote zilishaonekana kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka 2019.
 
Sasa kama nyie "wasomi "Mnajificha kwenye majina fake acha kina Harmonise la pili B waende mjengoni wakaamue mstakabali wa nchi.
 
Sina uhakika kama 4m4 kafika. Ila uhakika ni kuwa akioitishwa CCM, jua hata uchaguzi mkuu anatoboa.
 
Usimsahau Vicky KAMATA( CCM) na John Komba( rip- CCM pia).
 
K
Duh! Ngoja tuone kwenye kuchangia mambo ya bajeti
Itakuwaje

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Lazima achangie? Anaweza asiongee hadharani mjengoni lakini akawa na uwezo wa kushawishi,kuchagiza,kuloby, kusimamia maagizo na utekelezaji and don't take for granted.
Kama alipata nafasi kuongea na Mkuu wa Nchi,basi nyota yake ni kubwa.
 
Aende tu akagombee,hata hawa waliopo wa chama cha mbogamboga ni sawa na huyo dogo.
 
Watataka kumdisqualify kwa elimu yake, anasahau maprofesa ndio wametufikisha hapa...
Kwani kigezo cha kuwa mbunge si kujua kusoma na kuandika kwa lugha ya kiswahili na kiingereza? Eti Becky[emoji2]
 
Mikataba yote iendelee kusainiwa Ikulu na maamuzii yote makubwa yabaki chini ya ikulu..

taifa kama taifa hatuwezi kupeleka mambo mazito yajadiliwe na watu kama hawa...
Tangu lini Bunge letu linajadili mikataba?.
It has been proven beyond reasonable doubt kuwa wabunge wa daasa saba wanachangia vizuri kuliko Ph.D holders!.

Kuwa na elimu kubwa sio kuwa na maarifa, maadam sifa za ubunge ni kujua kusoma na kuandika, mwacheni awe.

Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!.
P
 
My life has been a chronology of changes - Malcom X. Aliyasema maneno hayo akikumbushia njia ndefu ya maisha yake ya siku za nyuma, aliwahi kuwa dalali wa wanawake (pimp), aliwahi kuwa jambazi. Baadae akawa mwanaharakati wa kimataifa.

Hakuna ubaya kwa Harmonise kuwa na ndoto za ubunge, pengine anaweza kuleta mabadiliko makubwa huko nyumbani alipozaliwa.
Unamlinganisha Malcom X na harmonize mkuu
 
Kosa
Itategemea na 'Yesu'atakavyoona inampendeza.
Kosa alifanya kangi kumfananisha masiha na binadamu wa dunia hii na wewe kwa ujuha unauendeleza.
Hata kama umeweka ". " Bado unakosea.
 
Kabla hujafa hujaumbika. Harmonize anaweza kuja kuwa Kiongozi Bora. Vipi Dj mbowe? Vipi Mr 2 proud sugu vipi Prof j wa mitulinga.
Tusidharau binadamu aliye hai. Anacho kitu alichopewa na Mungu.
Rais wa Madagascar alikuwa dj.
Unamlinganisha Malcom X na harmonize mkuu
 
Back
Top Bottom