Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZuchuAmesababisha wasanii wote wametoa nyimbo za kumtukuza Yesu ili na wao wapewe majimbo yao.
Dogo janja
Kala jerimiah
Nandy
N.K Wote imewabidi watoe nyimbo ya kumtukuza Yesu
Hili kama tango pori. Ni binti wa pilato kweli ?Hii ni sawa na Pilato alivyopendezwa na kucheza kwa mwanae..hatimaye mwanae akaomba kichwa cha Yohana Mbatizaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hadi Zuchu katoa nyimbo ya kumtukuza Yesu wa lugola?Zuchu
NdioAisee hadi Zuchu katoa nyimbo ya kumtukuza Yesu wa lugola?
Picha sasa ndio tatizo mdau,yako naijua nje ndani na uchafu wake.
Ubunge uwe unajua kujenga hoja tuKweli maana hata Sugu, prof Jay nilishangaa kupata ubunge kwa elimu waliyonayo
Mzee mwenzangu kwan shida ni nn hapa? Hebu nijuzeSasa ntakutisha nini wkt papa la wananchi tunalishuhudia daily?
Unaweza Ukawa graduate na Ukawa boya tuHivi wale nilijua ni graduates. Ok ila mimi sikuwa katika uchama. Ni aibu mtu hata degree huna unagombea ubunge kwakuwa tu wewe ni maarufu.
Awe CHADEMA , CCM au CUF ningependa sheria iweke sifa za elimu kwa kila nafasi
Kujua Kusoma na kuandika, mengine utajiongezaHivi sifa za kuwa mbunge ni zipi?
Kwli kabisa Kumbuka alipotoka alikuwa zeroooMy life has been a chronology of changes - Malcom X. Aliyasema maneno hayo akikumbushia njia ndefu ya maisha yake ya siku za nyuma, aliwahi kuwa dalali wa wanawake (pimp), aliwahi kuwa jambazi. Baadae akawa mwanaharakati wa kimataifa.
Hakuna ubaya kwa Harmonise kuwa na ndoto za ubunge, pengine anaweza kuleta mabadiliko makubwa huko nyumbani alipozaliwa.
Marekebisho ni HerodeHili kama tango pori. Ni binti wa pilato kweli ?
La. 7 na anaendesha biashara kubwa tuMsukuma anelimu gani?
Sema nimewakubali maana Wana exposure Sahv haoK
Lazima achangie? Anaweza asiongee hadharani mjengoni lakini akawa na uwezo wa kushawishi,kuchagiza,kuloby, kusimamia maagizo na utekelezaji and don't take for granted.
Kama alipata nafasi kuongea na Mkuu wa Nchi,basi nyota yake ni kubwa.
Kuingia bungeni unatakiwa kujua kusoma na kuandika tu chiefKatiba haibagui lakini si kila mwenye haki kikatiba ana sifa ya kuwa kiongozi!
Kapitie maana na tafsiri ya kiongozi
Na uzalendo pia. Uzalendo unaanza kwanza!Kazi Ya Ubunge Sifa Ni Kujua Kusoma Na Kuandika
Huko jimboni wamekosa wasomi mpaka uunge mkono hoja?Naunga mkono hoja
P